Nawezaje kuishi Maisha bila ndugu

Nawezaje kuishi Maisha bila ndugu

inawezekana kabisa ila mpaka uwe na sababu, mfano mimi kuna kipindi nilipataga vihela nikapambana sana kusaidia ndugu zangu kwa kadiri nilivyoweza, nakumbuka nikapataga kesi central police nilikaa pale kama wiki mbili ndugu karibu wote walipata taarifa lakini hakuna lolote walifanya kunisaidia nilijipambania mwenyewe nikatoka , baada ya kutoka maisha yangu yakawa magumu sana , ila sikukata tamaa ndo bdae hali ikawa poa, nikaona wamenza kujirudi so kuanzia hapo nilisema sina ndugu niko mwenyewe duniani, hta leo nikumwa ni mimi na Mungu wangu, yaani moyo wangu usharidhika kbs, napambana mwenyewe, basi
 
Wale hawana ndugu kabisa wanaishije?
Nataka niingie huko.
Toka uende mkoa wa mbali ukaanzishe maisha huko alafu uwadanganye upo mkoa mwingine tofauti na ulipo, then fanya kazi huko huku ukipinguza mawasiliano kidogokidogo baada ya miezi michache tupa laini zako usajili laini mpya kwaajili ya marafiki wapya wa mkoa huo.
Usikate mawasiliano siku za mwanzo sababu watakutangaza redioni na kwenye mitandao ya kijamii alafu watajua chimbo ulipojichimbia.
 
inawezekana kabisa ila mpaka uwe na sababu, mfano mimi kuna kipindi nilipataga vihela nikapambana sana kusaidia ndugu zangu kwa kadiri nilivyoweza, nakumbuka nikapataga kesi central police nilikaa pale kama wiki mbili ndugu karibu wote walipata taarifa lakini hakuna lolote walifanya kunisaidia nilijipambania mwenyewe nikatoka , baada ya kutoka maisha yangu yakawa magumu sana , ila sikukata tamaa ndo bdae hali ikawa poa, nikaona wamenza kujirudi so kuanzia hapo nilisema sina ndugu niko mwenyewe duniani, hta leo nikumwa ni mimi na Mungu wangu, yaani moyo wangu usharidhika kbs, napambana mwenyewe, basi
Mkuu umesha tajirika au bado unajitafuta ila samahani sana.
 
Back
Top Bottom