Nawezaje kuishi Maisha bila ndugu

nimeipenda hiyo
 
Badilisha tabia, unafikiri hao ambao hawana ndugu wana amani? Fanya utani na kitu kinaitwa upweke mwisho wa siku upate sonona ujiue, hao ndugu unaowakataa watupikie mapilau na soda msibani tujichane
Na pia akiendekeza kuishi na ndg kama ngozi migogoro Italia timu kwake.
Kama unataka ujue ubaya wa ndg ishu nao pamoja au karibu, na wayajue maisha yako.
Nipo km nyingi sana mbali na ndg, na nina amani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…