malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Habari wakuu nauliza nawezaje kujikinga na maradhi ya Figo au vyakula Gani visivyofaa vinahatarisha afya ya figo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yakula gani vina sodium kwa wingi?1. Kunywa maji mengi kutegemea kazi yako na hali ya hewa ya mahala ulipo.
2. Usipendelew vinywaji vyenye concentration kubwa, especially vilevi vikali au juice zenye sukari kali.
3. Kunywa tena maji mengi ukiwa kwenye dozi au ukiwa unatumia dawa.
4. Mazoezi.
5. Kula vizuri na punguza menu zenye Sodium nyingi.
6. Punguza fegi na mashisha.
Kunywa maji mengi itegemee Hali ya hewa ya mazngra unayoishi!! Nakuomba unifafanulie nielewe mkuu1. Kunywa maji mengi kutegemea kazi yako na hali ya hewa ya mahala ulipo.
2. Usipendelew vinywaji vyenye concentration kubwa, especially vilevi vikali au juice zenye sukari kali.
3. Kunywa tena maji mengi ukiwa kwenye dozi au ukiwa unatumia dawa.
4. Mazoezi.
5. Kula vizuri na punguza menu zenye Sodium nyingi.
6. Punguza fegi na mashisha.
Sodium (Na+) inatokana sana kwenye chumvi (Table Salt, NaCl). Na chumvi ni moja ya preserving method ya kutunza msosi usiharibike, mfano canned, smoked, salted, frozen etc. Kwahiyo vyakula vingi ambavyo vinajazwa machumvi either kama preservation au kupika vina Na nyingi, kama soup, pizza, kuku na nyama choma, nk.Vyakula gani vina sodium kwa wingi?
Mtu wa Njombe (13 degrees of Celsius) hawezi kunywa maji sawa na Chizi Maarifa wa Dar (35 degrees).Kunywa maji mengi itegemee Hali ya hewa ya mazngra unayoishi!! Nakuomba unifafanulie nielewe mkuu
Ukisema stay hydrated unamaana ganiKunywa maji sio mengi ila ya kutosha
Epuka kutumia madawa ya kutuliza maumivu mara kwa mara.
STAY HYDRATED
STAY HYDRATED
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Bilashaka anamaanisha mwili wako uwe na maji ya kutosha.Ukisema stay hydrated unamaana gani