Nawezaje kujilinda na kujikinga dhidi ya magonjwa ya FIGO

Nawezaje kujilinda na kujikinga dhidi ya magonjwa ya FIGO

chembe hai nyeupe au chembe hai zako mwenyewe za kinga za mwili wako zinapambana na chembe hai za viungo vya mwili wako wenyewe kama chembe hai za figo.
KIFUPI chembe hai za mwili wako zinakulana zinashambuliana zenyewe kwa zenyewe zinakulana zenyewe kwa zenyewe membraneous Glomerulonephropathy zinaua figo zako.
wakati mwingine kama ulipata ugonjwa wa matonsil vimelea vya bacteria wa koo GBS group b streptococci ambao ambao wana aina ya protini inayofanana na protini iliyopo kwenye joints na kwenye moyo na kwenye figo hivyo kinga za mwili zinaposhambulia kuua vimelea vya bakteria vinaweza kupelekea kushambulia kula na chembe hai za figo hata na za moyo hata na za joints..rheumatic fever....then baadae glomerulonephritis..

KIFUPI ZAIDI..AUTOIMMUNE ..NI MWILI WAKO WENYEWE UNAJISHAMBULIA WENYEWE UNAJILA WENYEWE.
Autoimmunie tiba yake ni nin
 
Habari wakuu nauliza nawezaje kujikinga na maradhi ya Figo au vyakula Gani visivyofaa vinahatarisha afya ya figo
Kupata chronic kidney failure siyo rahisi Kwa mtu ambaye Kinga yake ya mwili Iko vizuri au hiv -ve. Pamoja na vyote vilivyoanishwa ambavyo unatakiwa kuviepuka na kuvifanya pia usipende kubana mkojo Kwa muda mrefu.

Pendelea pia kula matango, yanasaidia kuimarisha afya ya Figo.
 
Autoimmunie tiba yake ni nin
hii haina
Autoimmunie tiba yake ni nin
Hakuna dawa ya kuponya au kuzuia autoimmune ni mfumo wa kinga ya mwili wako una misbehave wenyewe unaanza kushambulia mwili wako wwnyewe .Ndio mana nilisema kuna baadhi ya sababu sio rahisi kuzizuia kiziepuka unaweza usinywe pombe,usitumie madawa au energy drinks au n.k lakini kuna sababu visababishi zilizo nje ya uwezo wetu ambazo SIO RAHISI kuzizuia kama AJALI au trauma inayopelekea Intra renal injury jeraha kwwenye figo zote au mutations au saratani au idiopathic..
Kwa zile modifiable risk behaviours visababishi ambavyo vipo ndani ya uwezo wetu kujiepusha kama KUACHA TABIA HATARISHI ,na tabia bwete kubadili mfumo wa maisha mabaya ni vyema kuziepusha
Nyingine zilizo nje ya uwezo wetu hatuwezi kuziepuka.
HITIMISHO
Zipo dawa za kushusha makali ya kinga za mwili immune suppressors zinatumikaga kushusha kinga mwili ili.kupunguz makali ya kushambulia mwili wenyewe n.k
KWA USHAURI ZAIDI NENDA HOSPITALI UPATE USHAURI WA DAKATARI WAKO
 
Kila kitu kias , hata hayo maji ukizidisha haifai
Vitu vyenye manufaa tumia kwa kiasi. Visivyo na manufaa usitumie kabisa.
Kuna jamaa hajawahi kugusa pombe kabisa ila ana CKD na anafanya dailysis. Kuna dogo wa miaka 12 ana CKD na anafanya dailysis. So pombe sio chanzo kikuu cha kufeli kwa figo kuna factors nyingi sana tofauti na pombe
Ni kweli kuna visababishi vingine, hata vilivyo nje ya uwezo wetu. Lakini hiyo haimaanishi usiwe makini na vilivyo ndani ya uwezo, kama lifestyle unayoishi.
 
hii haina
Hakuna dawa ya kuponya au kuzuia autoimmune ni mfumo wa kinga ya mwili wako una misbehave wenyewe unaanza kushambulia mwili wako wwnyewe .Ndio mana nilisema kuna baadhi ya sababu sio rahisi kuzizuia kiziepuka unaweza usinywe pombe,usitumie madawa au energy drinks au n.k lakini kuna sababu visababishi zilizo nje ya uwezo wetu ambazo SIO RAHISI kuzizuia kama AJALI au trauma inayopelekea Intra renal injury jeraha kwwenye figo zote au mutations au saratani au idiopathic..
Kwa zile modifiable risk behaviours visababishi ambavyo vipo ndani ya uwezo wetu kujiepusha kama KUACHA TABIA HATARISHI ,na tabia bwete kubadili mfumo wa maisha mabaya ni vyema kuziepusha
Nyingine zilizo nje ya uwezo wetu hatuwezi kuziepuka.
HITIMISHO
Zipo dawa za kushusha makali ya kinga za mwili immune suppressors zinatumikaga kushusha kinga mwili ili.kupunguz makali ya kushambulia mwili wenyewe n.k
KWA USHAURI ZAIDI NENDA HOSPITALI UPATE USHAURI WA DAKATARI WAKO
Hii Kinga ya mwili Kumisbehave wenyewe sababu kuu huwa ni nin
 
auto....automatic
Hii Kinga ya mwili Kumisbehave wenyewe sababu kuu huwa ni nin
.
Hii Kinga ya mwili Kumisbehave wenyewe sababu kuu huwa ni nin
AUTO..autonomous....automatic...self control...yenyewe tu inalianzisha yenyeswe self automatic ..ina overeact...tofauti za kimaumbile..(sio kwa watu wote kwa baadhi ya watu/maumbile ya kinga zao za mwili hypersensitivity reaction..yani kama jamii ya aleji hivi miili inatofautiana reactions kwwnye same stimulus ...ndio mana wengine wana aleji wwngine hawana aleji...Immunoglobins zinatofautiana reactions..NENDA HOSPITALI YA KARIBU FUATA USHAURI WA DAKTARI WAKO
 
1.usitumie ENERGY DRINKS,usitumie POMBE hasa POMBE KALI**

wala usichanganye pombe na energy drinks ndio sawa na kuuwa kabisa figo+(ukichanganya pombe +energy drinks)= kuua figo.**

1)***ENERGY DRINKS...ENERGY DRINKS NI SUMU SANA .. ikisimama peke yake tu yenyewe tu inaua figo zaidi kuliko hata pombe zenyenyewe.

2.USITUMIE MADAWA YA HOSPITALI hovyo ,usitumie dawa za mmaumivu pain killer kwa muda mrefu au hovyo..dawa za hospitali hovyo ni sumu potential poison

3.USITUMIE DAWA ZA MIZIZI au MITISHAMBA dawa za kienyeji...hazina kipimo,hazijachujwa,nyingi zina ni sumu kali hazina kiwango maalumu dozi,utinzwaji wake hafifu hata expire dose NI SUMU

4.Usitumie CHUMVI au punguza matumizi ya chumvi

5.epuka kuugua ugonjwa wa KISUKARI kwa kupunguza kula au kula kwa kufuata ushauri wa DR JANABI kula kadiri ya mahitaji ya mwili kazi unazifanya ,chakula kinachozidi mwilini hutunza sukari mwilini...

6.kama tayari unaugua ugonjwa wa kisukari fuata masharti kanuni za kuishi na ugonjwa wa kisukari..zingatia LISHE sahihi mazoezi ,dawa na hudhuria kliniki yako

7.MAZOEZI at least nusu saa mara tatu kwa juma utoke jasho,mazoezi ya aerobic sports kukimbia kuruka kamba,kuendesha baiskeli,kuogelea n.k mwili utoke jasho,kutembea kwa haraka hatua 100 kwa dakika au kupandisha vilima n.k

8.Kama unatumia dawa za muda mrefu kama za kufubaza VVUKIMWI fuata ushauri wa mtaalamu wa afya na akipima figo zako anaweza kukushauri juu ya matumizi sahihi ya dawa kadiri ya afyabya figo zako,usitumie dawa hivyo bila ushauri wa daktari hata hizo za VVUKIMWI

,au dawa za maumivu kwa muda mrefu mfano wagonjwa wa maumivu ya mifupa ya muda mrefu kama baridi yabisi ATHRITIS,ni vizuri kupata suluhisho la kudumu la kuondoa hayo maumivu kama ni upasuaji au nyonga bandia au daktari wa mifupa atakavyoshauri kuliko kuendelea kitumia dawa za kutuliza maumivu ya mifupa kwa muda mrefu zinaua figo

9.Kunywa maji ya kutosha at least lita 2 -3 kwa siku

10.punguza UZITO/UNENE

11.Tibu TEZI DUME au matatizo yanayozuia mkojo kutoka ,mkojo usipotoka ukizuiwa na matatizo mbalimbali ya mfumo wa mkojo,unaweza kirudi nyuma kwenye figo na kuharibu figo...

12.sambamba na hiyo USIZUIE usijizuie kwwnda kukojoa usizuie mkojo ukikubana kojoa ila kama unapata shida kupata mkojo wahi hospitali

13.pima afya chunguza mwili mara kwa mara at least kwa mwaka mara 2 hata 3 kila robo mwaka bila kuugua,ila ukiugua wahi hospitali haraka

14.tunza afya yako usipate maambukizi ya magonjwa mengine ya kuambukiza na yasiyoyakuambukiza kama shinikizo la damu Presha,n.k kwa kufuata kanuni za afya ,mazoezi,mlo kamili ukihusisha mboga za majani na matunda,chanjo mbalimbali za kuzuia maambukizi,kuepuka tabia hatarishi zinazopelekea kupata magonjwa na tabia bwete...kunywa maji fanya mazoezi ya kutosha ,punguza uzito unene..,usivute sigara,vileo,vinyajwi vinavyochangamsha mwili,vinywaji vya sukari.

15.PUMZIKA pata muda wa kutosha kupumzika ikiwemo kulala masaa 6-8 kwa siku kulala kunasaidia mwili kijikarabati..pumzisha mwili wako vya kutosha.

17.MUNGU kwanza hii ndiyo namba moja ,ishi maisha ya ibada ili Mungu atupaye afya na uzima atulinde na magonjwa na ajali atuepushie.Hata wagonjwa wanaoumwa tayari Mungu awaponye..mana kuna uwezekano wa kupata shida ya figo kwa sababu ambazo ni za autoimmune,ajali,au idiopathic ambazo kwa kiasi fulani ziko nje ya uwezo wako ku contol..kama ajali inayojaharibu figo,saratani (mutations) na nyingine..MUNGU ATUSAIDIE ,ila ukizingatia hayo yatasaidia na ukifuata ushauri wa DR JANABI tafuta youtube utaona video za dr janabi kaelezea vizuri,DR janabi tumzingatie na ushauri wa madaktari tuufuate.
🙏🙏
 
Back
Top Bottom