Nawezaje kujilinda na kujikinga dhidi ya magonjwa ya FIGO

Nawezaje kujilinda na kujikinga dhidi ya magonjwa ya FIGO

1.usitumie ENERGY DRINKS,usitumie POMBE hasa POMBE KALI**

wala usichanganye pombe na energy drinks ndio sawa na kuuwa kabisa figo+(ukichanganya pombe +energy drinks)= kuua figo.**

1)***ENERGY DRINKS...ENERGY DRINKS NI SUMU SANA .. ikisimama peke yake tu yenyewe tu inaua figo zaidi kuliko hata pombe zenyenyewe.

2.USITUMIE MADAWA YA HOSPITALI hovyo ,usitumie dawa za mmaumivu pain killer kwa muda mrefu au hovyo..dawa za hospitali hovyo ni sumu potential poison

3.USITUMIE DAWA ZA MIZIZI au MITISHAMBA dawa za kienyeji...hazina kipimo,hazijachujwa,nyingi zina ni sumu kali hazina kiwango maalumu dozi,utinzwaji wake hafifu hata expire dose NI SUMU

4.Usitumie CHUMVI au punguza matumizi ya chumvi

5.epuka kuugua ugonjwa wa KISUKARI kwa kupunguza kula au kula kwa kufuata ushauri wa DR JANABI kula kadiri ya mahitaji ya mwili kazi unazifanya ,chakula kinachozidi mwilini hutunza sukari mwilini...

6.kama tayari unaugua ugonjwa wa kisukari fuata masharti kanuni za kuishi na ugonjwa wa kisukari..zingatia LISHE sahihi mazoezi ,dawa na hudhuria kliniki yako

7.MAZOEZI at least nusu saa mara tatu kwa juma utoke jasho,mazoezi ya aerobic sports kukimbia kuruka kamba,kuendesha baiskeli,kuogelea n.k mwili utoke jasho,kutembea kwa haraka hatua 100 kwa dakika au kupandisha vilima n.k

8.Kama unatumia dawa za muda mrefu kama za kufubaza VVUKIMWI fuata ushauri wa mtaalamu wa afya na akipima figo zako anaweza kukushauri juu ya matumizi sahihi ya dawa kadiri ya afyabya figo zako,usitumie dawa hivyo bila ushauri wa daktari hata hizo za VVUKIMWI

,au dawa za maumivu kwa muda mrefu mfano wagonjwa wa maumivu ya mifupa ya muda mrefu kama baridi yabisi ATHRITIS,ni vizuri kupata suluhisho la kudumu la kuondoa hayo maumivu kama ni upasuaji au nyonga bandia au daktari wa mifupa atakavyoshauri kuliko kuendelea kitumia dawa za kutuliza maumivu ya mifupa kwa muda mrefu zinaua figo

9.Kunywa maji ya kutosha at least lita 2 -3 kwa siku

10.punguza UZITO/UNENE

11.Tibu TEZI DUME au matatizo yanayozuia mkojo kutoka ,mkojo usipotoka ukizuiwa na matatizo mbalimbali ya mfumo wa mkojo,unaweza kirudi nyuma kwenye figo na kuharibu figo...

12.sambamba na hiyo USIZUIE usijizuie kwwnda kukojoa usizuie mkojo ukikubana kojoa ila kama unapata shida kupata mkojo wahi hospitali

13.pima afya chunguza mwili mara kwa mara at least kwa mwaka mara 2 hata 3 kila robo mwaka bila kuugua,ila ukiugua wahi hospitali haraka

14.tunza afya yako usipate maambukizi ya magonjwa mengine ya kuambukiza na yasiyoyakuambukiza kama shinikizo la damu Presha,n.k kwa kufuata kanuni za afya ,mazoezi,mlo kamili ukihusisha mboga za majani na matunda,chanjo mbalimbali za kuzuia maambukizi,kuepuka tabia hatarishi zinazopelekea kupata magonjwa na tabia bwete...kunywa maji fanya mazoezi ya kutosha ,punguza uzito unene..,usivute sigara,vileo,vinyajwi vinavyochangamsha mwili,vinywaji vya sukari.

15.PUMZIKA pata muda wa kutosha kupumzika ikiwemo kulala masaa 6-8 kwa siku kulala kunasaidia mwili kijikarabati..pumzisha mwili wako vya kutosha.

17.MUNGU kwanza hii ndiyo namba moja ,ishi maisha ya ibada ili Mungu atupaye afya na uzima atulinde na magonjwa na ajali atuepushie.Hata wagonjwa wanaoumwa tayari Mungu awaponye..mana kuna uwezekano wa kupata shida ya figo kwa sababu ambazo ni za autoimmune,ajali,au idiopathic ambazo kwa kiasi fulani ziko nje ya uwezo wako ku contol..kama ajali inayojaharibu figo,saratani (mutations) na nyingine..MUNGU ATUSAIDIE ,ila ukizingatia hayo yatasaidia na ukifuata ushauri wa DR JANABI tafuta youtube utaona video za dr janabi kaelezea vizuri,DR janabi tumzingatie na ushauri wa madaktari tuufuate.
 
katika hali ya kawaida si rahisi mtu mwenye akili timamu anywe maji mengi kupita kiasi kinachohitajika na kupelekea (Water intoxication)labda awe na Mental illness/changamoto ya afya ya akili.

Mwili wenyewe physiologically umeumbwa na mfumo wa kutoa taarifa kwa kuleta hali ya mwili kama kuhisi KIU anapohitaji au kuhisi mwili kutosheka.Na mifumo mingine ya ya utendaji kazi wa mwili .
Mfano sio rahisi mtu mwenye akili timamu anywe ORALLY /INGESTION maji zaidi ya lita 5 labda awe kichaa.
Hivyo wanaoshauri kunywa maji mengi na wamekuwa wakishauri hivyo miaka mingi way back wanamaanisha sio rahisi unywe maji mengi kupita kiasi katika hali ya kawaida.

Physiologically hata IKITOKEA AMEKUNYWA MAJI MENGI ataongeza renal filtration rate ATAYAKOJOA SANA.
Sio rahisi mtu apate madhara kwa KUNYWA Maji mengi ORALLY .Labda kama kuna mtu aliewahi kushuhudia mtu/mgonjwa aliyepata water intoxication kwa ingest kunywa maji mengi aseme hapa.
 
1. Kunywa maji mengi kutegemea kazi yako na hali ya hewa ya mahala ulipo.

2. Usipendelew vinywaji vyenye concentration kubwa, especially vilevi vikali au juice zenye sukari kali.

3. Kunywa tena maji mengi ukiwa kwenye dozi au ukiwa unatumia dawa.

4. Mazoezi.

5. Kula vizuri na punguza menu zenye Sodium nyingi.

6. Punguza fegi na mashisha.
Punguza ulaji wa chumvi.
 
1. Kunywa maji mengi kutegemea kazi yako na hali ya hewa ya mahala ulipo.

2. Usipendelew vinywaji vyenye concentration kubwa, especially vilevi vikali au juice zenye sukari kali.

3. Kunywa tena maji mengi ukiwa kwenye dozi au ukiwa unatumia dawa.

4. Mazoezi.

5. Kula vizuri na punguza menu zenye Sodium nyingi.

6. Punguza fegi na mashisha.
8. Usisikilize Bongo fleva
9. Achana na ushabiki wa Simba na Yanga hauna tija kiafya kwako
 
1. Kunywa maji mengi kutegemea kazi yako na hali ya hewa ya mahala ulipo.

2. Usipendelew vinywaji vyenye concentration kubwa, especially vilevi vikali au juice zenye sukari kali.

3. Kunywa tena maji mengi ukiwa kwenye dozi au ukiwa unatumia dawa.

4. Mazoezi.

5. Kula vizuri na punguza menu zenye Sodium nyingi.

6. Punguza fegi na mashisha.
Kuna nchi nyingi sana watumia sana vilevi hasa pombe kali, vipi takwimu zao kuhusu ugonjwa wa figo
 
Epuka pombe kabisa, chumvi na sukari kiasi, ukiweza acha sukari. Kunywa maji ya kutosha. Mengi wadau wameshaeleza.
Kuna jamaa hajawahi kugusa pombe kabisa ila ana CKD na anafanya dailysis. Kuna dogo wa miaka 12 ana CKD na anafanya dailysis. So pombe sio chanzo kikuu cha kufeli kwa figo kuna factors nyingi sana tofauti na pombe
 
1.usitumie ENERGY DRINKS,usitumie POMBE hasa POMBE KALI**

wala usichanganye pombe na energy drinks ndio sawa na kuuwa kabisa figo+(ukichanganya pombe +energy drinks)= kuua figo.**

1)***ENERGY DRINKS...ENERGY DRINKS NI SUMU SANA .. ikisimama peke yake tu yenyewe tu inaua figo zaidi kuliko hata pombe zenyenyewe.

2.USITUMIE MADAWA YA HOSPITALI hovyo ,usitumie dawa za mmaumivu pain killer kwa muda mrefu au hovyo..dawa za hospitali hovyo ni sumu potential poison

3.USITUMIE DAWA ZA MIZIZI au MITISHAMBA dawa za kienyeji...hazina kipimo,hazijachujwa,nyingi zina ni sumu kali hazina kiwango maalumu dozi,utinzwaji wake hafifu hata expire dose NI SUMU

4.Usitumie CHUMVI au punguza matumizi ya chumvi

5.epuka kuugua ugonjwa wa KISUKARI kwa kupunguza kula au kula kwa kufuata ushauri wa DR JANABI kula kadiri ya mahitaji ya mwili kazi unazifanya ,chakula kinachozidi mwilini hutunza sukari mwilini...

6.kama tayari unaugua ugonjwa wa kisukari fuata masharti kanuni za kuishi na ugonjwa wa kisukari..zingatia LISHE sahihi mazoezi ,dawa na hudhuria kliniki yako

7.MAZOEZI at least nusu saa mara tatu kwa juma utoke jasho,mazoezi ya aerobic sports kukimbia kuruka kamba,kuendesha baiskeli,kuogelea n.k mwili utoke jasho,kutembea kwa haraka hatua 100 kwa dakika au kupandisha vilima n.k

8.Kama unatumia dawa za muda mrefu kama za kufubaza VVUKIMWI fuata ushauri wa mtaalamu wa afya na akipima figo zako anaweza kukushauri juu ya matumizi sahihi ya dawa kadiri ya afyabya figo zako,usitumie dawa hivyo bila ushauri wa daktari hata hizo za VVUKIMWI

,au dawa za maumivu kwa muda mrefu mfano wagonjwa wa maumivu ya mifupa ya muda mrefu kama baridi yabisi ATHRITIS,ni vizuri kupata suluhisho la kudumu la kuondoa hayo maumivu kama ni upasuaji au nyonga bandia au daktari wa mifupa atakavyoshauri kuliko kuendelea kitumia dawa za kutuliza maumivu ya mifupa kwa muda mrefu zinaua figo

9.Kunywa maji ya kutosha at least lita 2 -3 kwa siku

10.punguza UZITO/UNENE

11.Tibu TEZI DUME au matatizo yanayozuia mkojo kutoka ,mkojo usipotoka ukizuiwa na matatizo mbalimbali ya mfumo wa mkojo,unaweza kirudi nyuma kwenye figo na kuharibu figo...

12.sambamba na hiyo USIZUIE usijizuie kwwnda kukojoa usizuie mkojo ukikubana kojoa ila kama unapata shida kupata mkojo wahi hospitali

13.pima afya chunguza mwili mara kwa mara at least kwa mwaka mara 2 hata 3 kila robo mwaka bila kuugua,ila ukiugua wahi hospitali haraka

14.tunza afya yako usipate maambukizi ya magonjwa mengine ya kuambukiza na yasiyoyakuambukiza kama shinikizo la damu Presha,n.k kwa kufuata kanuni za afya ,mazoezi,mlo kamili ukihusisha mboga za majani na matunda,chanjo mbalimbali za kuzuia maambukizi,kuepuka tabia hatarishi zinazopelekea kupata magonjwa na tabia bwete...kunywa maji fanya mazoezi ya kutosha ,punguza uzito unene..,usivute sigara,vileo,vinyajwi vinavyochangamsha mwili,vinywaji vya sukari.

15.PUMZIKA pata muda wa kutosha kupumzika ikiwemo kulala masaa 6-8 kwa siku kulala kunasaidia mwili kijikarabati..pumzisha mwili wako vya kutosha.

17.MUNGU kwanza hii ndiyo namba moja ,ishi maisha ya ibada ili Mungu atupaye afya na uzima atulinde na magonjwa na ajali atuepushie.Hata wagonjwa wanaoumwa tayari Mungu awaponye..mana kuna uwezekano wa kupata shida ya figo kwa sababu ambazo ni za autoimmune,ajali,au idiopathic ambazo kwa kiasi fulani ziko nje ya uwezo wako ku contol..kama ajali inayojaharibu figo,saratani (mutations) na nyingine..MUNGU ATUSAIDIE ,ila ukizingatia hayo yatasaidia na ukifuata ushauri wa DR JANABI tafuta youtube utaona video za dr janabi kaelezea vizuri,DR janabi tumzingatie na ushauri wa madaktari tuufuate.
Autoimmune nikitu gani
 
Autoimmune nikitu gani
chembe hai nyeupe au chembe hai zako mwenyewe za kinga za mwili wako zinapambana na chembe hai za viungo vya mwili wako wenyewe kama chembe hai za figo.
KIFUPI chembe hai za mwili wako zinakulana zinashambuliana zenyewe kwa zenyewe zinakulana zenyewe kwa zenyewe membraneous Glomerulonephropathy zinaua figo zako.
wakati mwingine kama ulipata ugonjwa wa matonsil vimelea vya bacteria wa koo GBS group b streptococci ambao ambao wana aina ya protini inayofanana na protini iliyopo kwenye joints na kwenye moyo na kwenye figo hivyo kinga za mwili zinaposhambulia kuua vimelea vya bakteria vinaweza kupelekea kushambulia kula na chembe hai za figo hata na za moyo hata na za joints..rheumatic fever....then baadae glomerulonephritis..

KIFUPI ZAIDI..AUTOIMMUNE ..NI MWILI WAKO WENYEWE UNAJISHAMBULIA WENYEWE UNAJILA WENYEWE.
 
1.usitumie ENERGY DRINKS,usitumie POMBE hasa POMBE KALI**

wala usichanganye pombe na energy drinks ndio sawa na kuuwa kabisa figo+(ukichanganya pombe +energy drinks)= kuua figo.**

1)***ENERGY DRINKS...ENERGY DRINKS NI SUMU SANA .. ikisimama peke yake tu yenyewe tu inaua figo zaidi kuliko hata pombe zenyenyewe.

2.USITUMIE MADAWA YA HOSPITALI hovyo ,usitumie dawa za mmaumivu pain killer kwa muda mrefu au hovyo..dawa za hospitali hovyo ni sumu potential poison

3.USITUMIE DAWA ZA MIZIZI au MITISHAMBA dawa za kienyeji...hazina kipimo,hazijachujwa,nyingi zina ni sumu kali hazina kiwango maalumu dozi,utinzwaji wake hafifu hata expire dose NI SUMU

4.Usitumie CHUMVI au punguza matumizi ya chumvi

5.epuka kuugua ugonjwa wa KISUKARI kwa kupunguza kula au kula kwa kufuata ushauri wa DR JANABI kula kadiri ya mahitaji ya mwili kazi unazifanya ,chakula kinachozidi mwilini hutunza sukari mwilini...

6.kama tayari unaugua ugonjwa wa kisukari fuata masharti kanuni za kuishi na ugonjwa wa kisukari..zingatia LISHE sahihi mazoezi ,dawa na hudhuria kliniki yako

7.MAZOEZI at least nusu saa mara tatu kwa juma utoke jasho,mazoezi ya aerobic sports kukimbia kuruka kamba,kuendesha baiskeli,kuogelea n.k mwili utoke jasho,kutembea kwa haraka hatua 100 kwa dakika au kupandisha vilima n.k

8.Kama unatumia dawa za muda mrefu kama za kufubaza VVUKIMWI fuata ushauri wa mtaalamu wa afya na akipima figo zako anaweza kukushauri juu ya matumizi sahihi ya dawa kadiri ya afyabya figo zako,usitumie dawa hivyo bila ushauri wa daktari hata hizo za VVUKIMWI

,au dawa za maumivu kwa muda mrefu mfano wagonjwa wa maumivu ya mifupa ya muda mrefu kama baridi yabisi ATHRITIS,ni vizuri kupata suluhisho la kudumu la kuondoa hayo maumivu kama ni upasuaji au nyonga bandia au daktari wa mifupa atakavyoshauri kuliko kuendelea kitumia dawa za kutuliza maumivu ya mifupa kwa muda mrefu zinaua figo

9.Kunywa maji ya kutosha at least lita 2 -3 kwa siku

10.punguza UZITO/UNENE

11.Tibu TEZI DUME au matatizo yanayozuia mkojo kutoka ,mkojo usipotoka ukizuiwa na matatizo mbalimbali ya mfumo wa mkojo,unaweza kirudi nyuma kwenye figo na kuharibu figo...

12.sambamba na hiyo USIZUIE usijizuie kwwnda kukojoa usizuie mkojo ukikubana kojoa ila kama unapata shida kupata mkojo wahi hospitali

13.pima afya chunguza mwili mara kwa mara at least kwa mwaka mara 2 hata 3 kila robo mwaka bila kuugua,ila ukiugua wahi hospitali haraka

14.tunza afya yako usipate maambukizi ya magonjwa mengine ya kuambukiza na yasiyoyakuambukiza kama shinikizo la damu Presha,n.k kwa kufuata kanuni za afya ,mazoezi,mlo kamili ukihusisha mboga za majani na matunda,chanjo mbalimbali za kuzuia maambukizi,kuepuka tabia hatarishi zinazopelekea kupata magonjwa na tabia bwete...kunywa maji fanya mazoezi ya kutosha ,punguza uzito unene..,usivute sigara,vileo,vinyajwi vinavyochangamsha mwili,vinywaji vya sukari.

15.PUMZIKA pata muda wa kutosha kupumzika ikiwemo kulala masaa 6-8 kwa siku kulala kunasaidia mwili kijikarabati..pumzisha mwili wako vya kutosha.

17.MUNGU kwanza hii ndiyo namba moja ,ishi maisha ya ibada ili Mungu atupaye afya na uzima atulinde na magonjwa na ajali atuepushie.Hata wagonjwa wanaoumwa tayari Mungu awaponye..mana kuna uwezekano wa kupata shida ya figo kwa sababu ambazo ni za autoimmune,ajali,au idiopathic ambazo kwa kiasi fulani ziko nje ya uwezo wako ku contol..kama ajali inayojaharibu figo,saratani (mutations) na nyingine..MUNGU ATUSAIDIE ,ila ukizingatia hayo yatasaidia na ukifuata ushauri wa DR JANABI tafuta youtube utaona video za dr janabi kaelezea vizuri,DR janabi tumzingatie na ushauri wa madaktari tuufuate.
Hata Panadol na hedex nazo ni tatizo mkuu????
 
Hata Panadol na hedex nazo ni tatizo mkuu????
PAIN KILLERS dawa za maumivu hasa NSAIDS non steroidal anti inflammatory Drugs kama diclofenac,ibuprofen/brufen nk zinasababisha BILATERAL RENAL ARTERY constriction kusinyaa mishipa ya damu inayopeleka damu kwenye figo zote inapunguza kiasi cha damu(chakula na hewa safi) kupelekea figo kusinyaa kukauka NECROSIS na kufa.

Dawa hizi za maumivu za NSAIDS wakati mwingine zimechanganywa katika mchanganyiko wa dawa nyingi za maumivu zinazopendewa kwa sababu zinatuliza maumivu haraka kwa sababu ya mchanganyiko wa dawa zaidi ya moja,na sio rahisi mwanakijiji kutofautisha ,ambapo zinaweza zikachanganywa na paraceramol panadol kutengeneza DICLOPAR dawa tatu na nyingine.N.K

NJIA RAHISI YA KUELIMISHA JAMII ni kuwaelewesha tu dawa za maumivu zikitumiwa kiholela mara kwa mara zina madhara kwenye figo zinaua figo.
ILe mazoea ya kujinunulia dawa za maumivu duka la dawa na kutumia kiholela OTC over the counter medications ..au matumizi ya muda mrefu ya pain killers..

NI VIZURI KUFUATA USHAURI WA DAKTARI WAKO KUHUSU MATUMIZI YA DAWA..
pia ni vizuri pale unapoumwa utibiwe hospitali kubwa ikibidi na daktari bingwa usipende kwenda duka la dawa na kununua dawa ama kutibiwa kwenye vijiwe viosk uchichoroni. au kutibiwa kwa njia ya simu
..FUATA USHAURI WA DAKTARI WAKO.(hasa daktari bingwa katika hospitali kubwa itapendeza).
 
Back
Top Bottom