Nawezaje kujiondoa kwenye huduma hii ili nisiendelee kukatwa pesa zangu?

Nawezaje kujiondoa kwenye huduma hii ili nisiendelee kukatwa pesa zangu?

kingkongtz

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2019
Posts
1,058
Reaction score
3,613
Wakuu kwema, nilikuwa naumwa yapata wiki sasa npo ndani.

Sasa wakati sijiwezi kitandani kuna documents ilitakiwa nizitume sehemu nikampa wife simu anisaidie kutuma na akafanya hivyo na kule zilipoenda nikaambiwa zimefika.

Sasa katika kipindi cha wiki wifey amekuwa akichukia simu yangu na kuingia mitandaoni kuangalia vichekesho.

Juzi nmechukua simu naingia FB naona naambiwa nakaribia kuwekewa blue tick kwenye acc ya FB, nikafuafilia kidogo naona naambiwa nimalizie hatua zilizobaki nikashtuka nikaacha.

Badae nakuja kushtuka salio la Bank limepungua kiasi kile kile nachotakiwa kulipia FB kuwa verified, nikapanic kidogo nikaamua kufuta kabisa acc.

Dasa leo ndo kasheshe nimezama simbanking naona tsh 19700 imerud (refunded) ila salio tena tsh 64000 limepungua, kufuatilia vzr naona nilisubscribe kwenye WPS bila kujua duuh nmedata.

Wakuu naombeni msaada nafanyaje kujiondoa na hii 64000 itarudi kweli? maana ile ya FB imerudi jana.

Kwenye acc wameandika kiask halisi 300,000 na kiasi kinachopatikana tsh 236,000 (crdb simbanking)

Msaada wenu katika hili
 
nimepokea sms hii ikiwa hata namba ya siri sijaweka,,msaada wenu nifanyeje
Screenshot_20240906-205230_WhatsApp.jpg
 
Hiyo iliyotoka hairudi tena ila kuzuia kukatwa mbeleni unsubscribe WPS toka google playstore maana ukiacha kila tarehe kama ya siku ya makato ya kwanza yalifanywa pesa itakatwa automatically.

Ila umeoa zazwa.
 
wakuu kwema,nilikuw naumwa yapata wiki sasa npo ndani,

sasa wakati sijiwez kitandan kuna documents ilitakiwa nizitume sehemu nikampa wife simu anisaidie kutuma na akafanya hivyo na kule zilipoenda nikaambiwa zimefika .

sasa katika kipind cha wiki wifey amekuw akichukia simu yangu na kuingia mitandaoni kuangalia vichekesho,

sasa juz nmechukua simu naingia fb naona naambiwa nakaribia kuwekewa blue tick kwenye acc ya fb,nikafuafilia kdg naona naambiwa nimalizie hatua zilizobak nikashtuka nikaacha

badae nakuja kushtuka salio la bank limepungua kias kile kile nachotakiwa kulipia fb kuwa verified,nikapanic kdg nikaamua kufuta kabsa acc ya fb


sasa leo ndo kasheshe nmezama simbanking naona tsh 19700 imerud (refunded) ila salio tena tsh 64000 limepungua ,kufuatilia vzr naona nilisubscribe kwenye WPS bila kujua.duu nmedata

wakuu naomben msaada nafanyaje kujiondoa na hii 64000 itarud kwel ?? maana ile ya fb imerud jana,

kwenye acc wameandika kias halisi 300,000na kias kinachopatikana tsh 236,000(crdb simbanking)

msaada wenu katika hili
Pole sana mkuu kwa kuumwa kiongozi
 
Back
Top Bottom