Nawezaje kujiondoa kwenye huduma hii ili nisiendelee kukatwa pesa zangu?

Nawezaje kujiondoa kwenye huduma hii ili nisiendelee kukatwa pesa zangu?

msaada wenu katika hili
Bank zetu zina mfumo wa hovyo sana tofauti na Bank za KENYA na Nyingine za kimataifa.

Bank zatu CRDB,NMB huwa hawatumi OTP pale unapofanya malipo kwa VISA Card na Master Card.

Unachotakiwa kufanya ni kuondoa taarifa za KADI yako kwenye Simu yako kisha toa subscription, na vilevile hakikisha Card yako inakuwa yako, narudia tena TUNZA KADI YAKO WEWE.

Kingine usiruhusu Kadi yako ikapigwa picha na mtu. Kutokana na hawatumi OTP, hii ina maanisha hata mimi nikipata taarifa za kadi yako (Card number, Expry date na CVV) basi naweza kulipia chochote mtandaoni.

Be a Man, focus na Afya yako. Hizo Pesa ulizopoteza yawezekana zisirudi ila unaweza zuia zisipotee tena.

Get well.
 
Bank zetu zina mfumo wa hovyo sana tofauti na Bank za KENYA na Nyingine za kimataifa.

Bank zatu CRDB,NMB huwa hawatumi OTP pale unapofanya malipo kwa VISA Card na Master Card.

Unachotakiwa kufanya ni kuondoa taarifa za KADI yako kwenye Simu yako kisha toa subscription, na vilevile hakikisha Card yako inakuwa yako, narudia tena TUNZA KADI YAKO WEWE.

Kingine usiruhusu Kadi yako ikapigwa picha na mtu. Kutokana na hawatumi OTP, hii ina maanisha hata mimi nikipata taarifa za kadi yako (Card number, Expry date na CVV) basi naweza kulipia chochote mtandaoni.

Be a Man, focus na Afya yako. Hizo Pesa ulizopoteza yawezekana zisirudi ila unaweza zuia zisipotee tena.

Get well.
we ndo umeongea vyema wengine wanamshambulia mgonjwa
 
Bank zetu zina mfumo wa hovyo sana tofauti na Bank za KENYA na Nyingine za kimataifa.

Bank zatu CRDB,NMB huwa hawatumi OTP pale unapofanya malipo kwa VISA Card na Master Card.

Unachotakiwa kufanya ni kuondoa taarifa za KADI yako kwenye Simu yako kisha toa subscription, na vilevile hakikisha Card yako inakuwa yako, narudia tena TUNZA KADI YAKO WEWE.

Kingine usiruhusu Kadi yako ikapigwa picha na mtu. Kutokana na hawatumi OTP, hii ina maanisha hata mimi nikipata taarifa za kadi yako (Card number, Expry date na CVV) basi naweza kulipia chochote mtandaoni.

Be a Man, focus na Afya yako. Hizo Pesa ulizopoteza yawezekana zisirudi ila unaweza zuia zisipotee tena.

Get well.
shukran sana kwa maoni yako mkuu na Mungu akubariki.
 
nimejaribu kuzuia wameandika under review
Screenshot_20240906-214655_Samsung%20Internet.jpg
 
Huwa mnaoa vituko
Ulimuokotea pori gani huyo mkeo?
 
Bro mkeo key zake ziko low sana hawa ndio wale wanawake mnao agiziwaga na wazazi wenu kutoka kijijini mimi nilikataa huo ujinga
 
Kuna toto la kizungu hivyohivyo lika-order chakula cha Usd 30000 Macdonald mzee anashtukia watu wa deliver na videli vyao wa kutosha wanamgongea malango mzee anacheki kwa simu anaona Ordered and Paid akabaki anamuangalia tu mwanae kama mwana alietoka kulala na kahaba bila kinga na sasa ni baada ya kukitupa… Ilibidi wale msosi na kugawia majirani ila mzee hakuwa na hamu ya ule msosi muda wote alikuwa akimuangalia mwanae tu
 
Bro mkeo key zake ziko low sana hawa ndio wale wanawake mnao agiziwaga na wazazi wenu kutoka kijijini mimi nilikataa huo ujinga
Aaah mzee wa nyamwage... unatamba mndengeleko
 
nimepokea sms hii ikiwa hata namba ya siri sijaweka,,msaada wenu nifanyejeView attachment 3088975
Wake up broh,sasa hapo si wamekuwekea namba ya kupiga?,piga usitishe haraka huo muhamala.,
Huko alipo ingia kuna sehemu ya ku unsubscribe,fata maelekezo ujitoe.
Piga stop mama kushika cm yako,ukiweza mpeleke English course.
Pia,si kuoa tuu ili mradi,wanawake wengine IQ 0,wanaweza leta majanga bila wao kujua,na hata malezi pia ya watoto wako jitajidi uwe karibu na umsome bi mdashi anavyo walea..
 
Back
Top Bottom