Habar wadau hope wote mpo poa
Maisha magumu lakini elimu pia inasaidia ila yenyewe bila ujanja ni kazi bure ujanja muhimu pia ukiongezea na elimu basi ni full mteremko !!!! nije moja kwa moja kwenye mada naomba ijulikane wazi hapa tunazungumzia bei au thamani ya kiwanja na sio nyaraka utapeli au upimaji wa viwanja na kupata hati NOOOOOOO TUONGELEE BEI
Mi ninavyojua bei ya kiwanja inaevalutiwa kutukana na 1 sqm Hiii ndio unit measurement it means km 1 sqm = 10000 TZS basi liwamja chenye ukubwa wa 200 sqm = 200000 TZS
kwaio thamani halisi ya uwanja inatokana na ukubwa wake
Lakini io 1 sqm price sijui utaevaluate vipi??????
Lakini uzuri wake oarameters zipo zipo na tena itakuwa poa tukaweka zile za muhimu from top to bottom
Parameters hizo ni km
1. Location ; kipo city centre au ni uko ndani ndani mbagala charambe viwanja vilivo city centre ni bei Weee
2. Distance from city centre
3. Topography flat au mlima
4. Land use
6. Others
sasa kichekesho kinakuja unaenda mahali kununua kiwanja unakuta mtu ana kiwanja kimoja kakigawa sehemu nne kila kimoja kina 100 sqm kila kioja anauza million 3 na hati hana kipo ndani ndani huko majoe viwege na hti hana hii imekaaje afu kibaya zaidi wakikupeleka wanaanza kukuforce ununue haraka kwa madai kuwa ukichelewa kuna mtu atakinunua fasta
Naombeni ushauri wapi naweza pata wataalamu wa kutathimini bei za viwanja
Nisije kununua baadae kuja kushtuka nimepigwa
Maisha magumu lakini elimu pia inasaidia ila yenyewe bila ujanja ni kazi bure ujanja muhimu pia ukiongezea na elimu basi ni full mteremko !!!! nije moja kwa moja kwenye mada naomba ijulikane wazi hapa tunazungumzia bei au thamani ya kiwanja na sio nyaraka utapeli au upimaji wa viwanja na kupata hati NOOOOOOO TUONGELEE BEI
Mi ninavyojua bei ya kiwanja inaevalutiwa kutukana na 1 sqm Hiii ndio unit measurement it means km 1 sqm = 10000 TZS basi liwamja chenye ukubwa wa 200 sqm = 200000 TZS
kwaio thamani halisi ya uwanja inatokana na ukubwa wake
Lakini io 1 sqm price sijui utaevaluate vipi??????
Lakini uzuri wake oarameters zipo zipo na tena itakuwa poa tukaweka zile za muhimu from top to bottom
Parameters hizo ni km
1. Location ; kipo city centre au ni uko ndani ndani mbagala charambe viwanja vilivo city centre ni bei Weee
2. Distance from city centre
3. Topography flat au mlima
4. Land use
6. Others
sasa kichekesho kinakuja unaenda mahali kununua kiwanja unakuta mtu ana kiwanja kimoja kakigawa sehemu nne kila kimoja kina 100 sqm kila kioja anauza million 3 na hati hana kipo ndani ndani huko majoe viwege na hti hana hii imekaaje afu kibaya zaidi wakikupeleka wanaanza kukuforce ununue haraka kwa madai kuwa ukichelewa kuna mtu atakinunua fasta
Naombeni ushauri wapi naweza pata wataalamu wa kutathimini bei za viwanja
Nisije kununua baadae kuja kushtuka nimepigwa