Nawezaje kumfanya paka niliemfanya anizoee asinizoee, Napata shida ya kuhisiwa mimi ni mshirikina sehemu ya kazi

Nawezaje kumfanya paka niliemfanya anizoee asinizoee, Napata shida ya kuhisiwa mimi ni mshirikina sehemu ya kazi

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Napenda sana wanyama, kwangu ni viumbe wenzetu tulioumbwa nao pamoja isipokuwa sisi tulipewa upendeleo mkubwa wa kuwa na akili na kupewa mamlaka juu yao. Hata nyumbani kwangu nawajali sana wanyama, hata kuku nikimleta kwajili ya kitoweo basi haki yake ya mchele, maji na banda safi ataipata.

Ipo hivi, kuna sehemu huwa tunaenda kukagua maendeleo ya mradi flani, n.k. kwa wiki tunaenda kama mara 3 hivi.

Sasa hio sehemu nilimkuta paka, hana mtu rasmi wa kumlisha, huwa anapambana kivyake, kuna kipindi namuona kabisa hajala anahangaika kutafuta msosi, hali hii mbele ya macho yangu ilikuwa inanipa majonzi.

Basi nikaanza mazoea ya kujifanya najinunulia samaki wa kula mchana sehemu ya karibu, ila nilikuwa naenda kisehemu flani hivi kimejificha nampa huyo paka anakula..

Nikiona kuna watu hio sehemu navyompa samaki, inakuwa bahati mbaya kwake maana siwezi kumlisha waziwazi, watu wataanza kunitilia mashaka

Sasa paka amekuwa akinizoea sana, yani kila nikienda nikishuka tu huyo anakuja miguuni anaanza kulia meow, meow, meouw! Kujizungusha zungusha, napenda lakini hii huwa inawajenga watu picha mbaya juu yangu kwahiyo inabidi nimfukuze tokaa!! Japo lazima ntamlisha kwa usiri.

Sasa kuna siku katika maongezi ya hapa na pale, raia flani akaanza story kwamba nimezoeana sana na paka na sio vizuri kuzoeana nao, nikijaza deshi hapo ni mambo ya kishirikina.

Nifenyeje huyu paka aache mazoea.
 
Napenda sana wanyama, kwangu ni viumbe wezetu tuliumbwa pamoja isipokuwa sisi tulipewa upendeleo mkubwa wa kuwa na akili na kupewa mamla juu yao. hata nyumbani kwmngu nawajali sana wanyama, hata kuku nikimleta kwajili ya kitoweo basi haki yake ya mchele, maji na banda safi ataipata.

Ipo hivi, kuna sehemu huwa tunaenda kukagua maendeleo ya mradi flani, n.k. kwa wiki tunaenda kama mara 3 hivi.

sasa ilitokea kipindi flanimwezi uliopita kuna paka mdogo nilimkuta hio sehemu, kama mnavyojua paka wengi huwa wanajitaftia chakula na kikifika kipindi chakula kinakuwa kigumu huwa wanapata shida sana.

basi nikaanza mazoea ya kujifanya najinunulia samaki wa kula mchana sehemu ya karibu, ila nilikuwa nampa huyo paka.. nilikuwa nampa japo kwa usiri kwa kuogopa watu wasijue.

Sasa paka amekuwa akinizoea sana, yani kila nikienda nikishuka tu huyo anakuja miguuni anaanza kulia meow, meio, meouw! kujizungusha zungusha, napenda lakini hii huwa inanipa aibu inabidi nimfukuze tokaa!! maana naogopa watu wataanza kufikiria mengine.

Nimepewa tetesi watu katika eneo hilo nahisi wameanza kuniona mimi ni kama mshirikina,

Nifenyeje huyu paka aache mazoea,
Ukiona Paka hakupendi jua una ama yote haya au moja wapo hivyo badilika na atakupenda mara moja....

1. Una Roho Mbaya mno
2. Mchoyo sana
3. Mshirikina au Umerogwa kiasi cha hadi Shetani mwenyewe anakuonea Huruma huko aliko
 
Napenda sana wanyama, kwangu ni viumbe wezetu tuliumbwa pamoja isipokuwa sisi tulipewa upendeleo mkubwa wa kuwa na akili na kupewa mamla juu yao. hata nyumbani kwmngu nawajali sana wanyama, hata kuku nikimleta kwajili ya kitoweo basi haki yake ya mchele, maji na banda safi ataipata.

Ipo hivi, kuna sehemu huwa tunaenda kukagua maendeleo ya mradi flani, n.k. kwa wiki tunaenda kama mara 3 hivi.

sasa ilitokea kipindi flanimwezi uliopita kuna paka mdogo nilimkuta hio sehemu, kama mnavyojua paka wengi huwa wanajitaftia chakula na kikifika kipindi chakula kinakuwa kigumu huwa wanapata shida sana., hali hii mbele ya mcho yangu huwa siipendi.

basi nikaanza mazoea ya kujifanya najinunulia samaki wa kula mchana sehemu ya karibu, ila nilikuwa nampa huyo paka.. nilikuwa nampa japo kwa usiri kwa kuogopa watu wasijue.

Sasa paka amekuwa akinizoea sana, yani kila nikienda nikishuka tu huyo anakuja miguuni anaanza kulia meow, meio, meouw! kujizungusha zungusha, napenda lakini hii huwa inanipa aibu inabidi nimfukuze tokaa!! maana naogopa watu wataanza kufikiria mengine.

Nimepewa tetesi watu katika eneo hilo nahisi wameanza kuniona mimi ni kama mshirikina,

Nifenyeje huyu paka aache mazoea,
Kwani wao wakihisi wewe ni mshirikina ilhali wewe si mshirikina, iko mbaya gani?
 
Napenda sana wanyama, kwangu ni viumbe wezetu tuliumbwa pamoja isipokuwa sisi tulipewa upendeleo mkubwa wa kuwa na akili na kupewa mamla juu yao. hata nyumbani kwmngu nawajali sana wanyama, hata kuku nikimleta kwajili ya kitoweo basi haki yake ya mchele, maji na banda safi ataipata.

Ipo hivi, kuna sehemu huwa tunaenda kukagua maendeleo ya mradi flani, n.k. kwa wiki tunaenda kama mara 3 hivi.

sasa ilitokea kipindi flanimwezi uliopita kuna paka mdogo nilimkuta hio sehemu, kama mnavyojua paka wengi huwa wanajitaftia chakula na kikifika kipindi chakula kinakuwa kigumu huwa wanapata shida sana.

basi nikaanza mazoea ya kujifanya najinunulia samaki wa kula mchana sehemu ya karibu, ila nilikuwa nampa huyo paka.. nilikuwa nampa japo kwa usiri kwa kuogopa watu wasijue.

Sasa paka amekuwa akinizoea sana, yani kila nikienda nikishuka tu huyo anakuja miguuni anaanza kulia meow, meio, meouw! kujizungusha zungusha, napenda lakini hii huwa inanipa aibu inabidi nimfukuze tokaa!! maana naogopa watu wataanza kufikiria mengine.

Nimepewa tetesi watu katika eneo hilo nahisi wameanza kuniona mimi ni kama mshirikina,

Nifenyeje huyu paka aache mazoea,
Pole sana ndugu yangu wala usiogope kumsaidia mnyama sababu ya binadamu, huwezi kuamini yawezekana ukafanikiwa mambo yako sababu tu ya kumsaidia huyo paka. Kuna mwanamke malaya alienda peponi sababu tu ya kumpa mbwa maji ya kunywa aliyemkuta na kiu.

Na kuna mwanamke alitupwa motoni sababu ya kumfungia paka ndani ya nyumba na akafa kwa kukosa chakula, maana kama angemuacha huru yule paka angeenda kujitafuta chakula,
 
Kwani wao wakihisi wewe ni mshirikina ilhali wewe si mshirikina, iko mbaya gani?
Hiyo ni zaidi ya aibu, ndio maana nikiona kuna watu sehemu ambayo huwa namlishia, basi hiyo siku siwezi kumnunulia samaki. Ponea yake hadi ale inabidi kuwe na usiri, bila hivyo siwezi.
 
Mimi nafuga na napenda paka.
Sehemu nayofanyia biashara nafuga paka.
Siogopi wala kujali watu wananifikiriaje ilimradi tu sifanyi chochote kibaya.
Hao hao akizaa watoto wanakuja kuomba wakafuge makwao na ninawapatia.
Fanya upendavyo ilimradi humkwazi mtu.
Kama ni kuongea wanadamu tunaongea sana hata visivyo na ukweli.
Wanaweza wasikuite mchawi kwa kupenda paka ila wakakuzushia jambo jingine ambalo hata halihusiani na wewe na wapo watakaoamini na kusambaza kuendelea kukuchafua.
 
Wanyama wana mapenzi sana kwa watu wanaowajali na anachokifanya ni kuonesha huba tu mkuu. Nothing serious japo wenyeji wakikuambia pia usifanye kitu flani bhasi chunguza kuliko kukataa au kukubali moja kwa moja.
 
Ni jambo la kufikirisha, mtu mzima kama wewe unashindwa kufanya mambo yako kisa Jamii itasema nini, ilihali ni jambo jema.

wanaume tumebaki wachache
 
Wewe ndo unasema tufuge mpya wa kienyeji eti[emoji2]
 
Napenda sana wanyama, kwangu ni viumbe wezetu tulioumbwa nao pamoja isipokuwa sisi tulipewa upendeleo mkubwa wa kuwa na akili na kupewa mamlaka juu yao. hata nyumbani kwangu nawajali sana wanyama, hata kuku nikimleta kwajili ya kitoweo basi haki yake ya mchele, maji na banda safi ataipata.

Ipo hivi, kuna sehemu huwa tunaenda kukagua maendeleo ya mradi flani, n.k. kwa wiki tunaenda kama mara 3 hivi.

sasa hio sehemu nilimkuta paka, hana mtu rasmi wa kumlisha, huwa anapambana kivyake, kuna kipindi namuona kabisa hajala anahangaika kutafuta msosi, hali hii mbele ya mcho yangu ilikuwa inanipa majonzi.

basi nikaanza mazoea ya kujifanya najinunulia samaki wa kula mchana sehemu ya karibu, ila nilikuwa naenda kisehemu flani hivi kimejificha nampa huyo paka anakula..

Nikiona kuna watu hio sehemu nayompa samaki, inakuwa bahati mbaya kwake maana siwezi kumlisha waziwazi, watu wataanza kunitilia mashaka

Sasa paka amekuwa akinizoea sana, yani kila nikienda nikishuka tu huyo anakuja miguuni anaanza kulia meow, meow, meouw! kujizungusha zungusha, napenda lakini hii huwa inawajenga watu picha mbaya juu yangu kwahio inabidi nimfukuze tokaa!! japo lazima ntamlisha kwa usiri.

Sasa kuna siku katika maongezi ya hapa na pale, raia flani akaanza story kwamba nimezoeana sana na paka na sio vizuri kuzoeana nao, nikijaza deshi hapo ni mambo ya kishiriina.

Nifenyeje huyu paka aache mazoea.
Nipatie huyo paka 🥰
 
Basi,na watoto wa mitaani tudiwasaidie. Kama hatutaki kuwasaidia stray cats.
Kumsaidia papa koko is the highest virtue.
 
Tuma kwanza picha ya uyo paka.
Huyu hapaa
FB_IMG_1652557633058.jpg
 
Chukua kichwa cha Samaki weka sumu ya mbewa mpe ale, hatakuzowea tena
 
Back
Top Bottom