Jibu zuri sanaMda utaponya yote haya
nimechelew kuipata hiii ni kubwa kuliko ahsante Sana ndugu yangu...hekma yako ni elimu tosha sanaNdugu,
Kwanza pole. Naelewa vzr hisia zako.
Pole saana kk.
Ila mi ningekushauri, kwanza kubali umeachana naye na ataolewa na mwingine, na ww utaoa mwingine.
Then, nenda mbele nenda nyuma, km kwao wameshaleta zengwe na kwenu nmeona km kuna zengwe ktk hili.. hapo ndoa hamna.. mki lazimisha tu utajuta mbeleni. Nina uzoefu ktk hilo la kulazimisha ndoa. Imenikuta na nlitaman ningesikiliza..
Af kuanzia hayo maumivu unayopitia kuanzia ss ndo utaiva na kujua nn maana mahusiano af hautotishwa tena mtu akisema mnaachana.
Ila anzia kwa kukubali matokeo then fungua kurasa. Usife mnyonge.
Sikushauri uoe mwanamke alibadilisha dini kisa ndoa ,kuna mwana kitaa alitaka kujinyonga.Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.
Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.
Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.
Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.
Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.
Msaada ndugu zangu.
Kuna njia nzuri ya kumsahau,ila kwa waislam,kuna kitu unakunywa hutomkumbuka daima,Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.
Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.
Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.
Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.
Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.
Msaada ndugu zangu.
Kabla ya kuingiza ushauri wangu, ningelipenda kufahamu kama bado mnawasiliana naye, na aina ya mawasiliano mnayotumia.Nitajaribu na Hilo pia ahsante mwenzenu nateseka sana
Huna kazi ya kufanya wewe.Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.
Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.
Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.
Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.
Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.
Msaada ndugu zangu.
Hahahahahaaaaa,😆😆😆Sawa lakini pamoja na huzuni ndo uandike bila aya kweli kaka....😕
...Utoto Raha Sana...Ukikua Utajua ' Wako Wengi Hawa' na ' Wazuri Hawajazaliwa' !!!....[emoji846]Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.
Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.
Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.
Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.
Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.
Msaada ndugu zangu.
If you real love him/ her Ngumu kumsahau.
Apia...If you real love him/ her Ngumu kumsahau.
Hata upretend kuwa na wengine still anakua na nafasi yake ya kipekee moyoni
Apia...
Inapendeza...Hakii tena😁
Mnoooo yaniInapendeza...