Nawezaje kumsahau niliyempenda sana?

Nawezaje kumsahau niliyempenda sana?

TOFAUTI ZA KIDINI SIO ZA KUPUUZIA,
TAFUTA MTU WA IMANI YAKO. MENGI UTAYAKWEPA
PENGINE UNAYOPITA SASA NI MEPESI KULIKO YA HAPO BAADAYE.

JE UNAISHI NA WAZAZI? NDUGU? KWAMBA HUNA KAZI YA KUFANYA.
UNAWEZAJE MUWAZA MTU KANA KWAMBA YEYE NI PUMZI YAKE?
NI MATUMIZI MABAYA YA AKILI BRO!
MBONA KUNA MENGI YA KUFANYA
 
Ndugu,

Kwanza pole. Naelewa vzr hisia zako.
Pole saana kk.

Ila mi ningekushauri, kwanza kubali umeachana naye na ataolewa na mwingine, na ww utaoa mwingine.

Then, nenda mbele nenda nyuma, km kwao wameshaleta zengwe na kwenu nmeona km kuna zengwe ktk hili.. hapo ndoa hamna.. mki lazimisha tu utajuta mbeleni. Nina uzoefu ktk hilo la kulazimisha ndoa. Imenikuta na nlitaman ningesikiliza..

Af kuanzia hayo maumivu unayopitia kuanzia ss ndo utaiva na kujua nn maana mahusiano af hautotishwa tena mtu akisema mnaachana.

Ila anzia kwa kukubali matokeo then fungua kurasa. Usife mnyonge.
 
Ndugu,

Kwanza pole. Naelewa vzr hisia zako.
Pole saana kk.

Ila mi ningekushauri, kwanza kubali umeachana naye na ataolewa na mwingine, na ww utaoa mwingine.

Then, nenda mbele nenda nyuma, km kwao wameshaleta zengwe na kwenu nmeona km kuna zengwe ktk hili.. hapo ndoa hamna.. mki lazimisha tu utajuta mbeleni. Nina uzoefu ktk hilo la kulazimisha ndoa. Imenikuta na nlitaman ningesikiliza..

Af kuanzia hayo maumivu unayopitia kuanzia ss ndo utaiva na kujua nn maana mahusiano af hautotishwa tena mtu akisema mnaachana.

Ila anzia kwa kukubali matokeo then fungua kurasa. Usife mnyonge.
nimechelew kuipata hiii ni kubwa kuliko ahsante Sana ndugu yangu...hekma yako ni elimu tosha sana
 
Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.

Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.

Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.

Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.

Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.

Msaada ndugu zangu.
Sikushauri uoe mwanamke alibadilisha dini kisa ndoa ,kuna mwana kitaa alitaka kujinyonga.
 
Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.

Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.

Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.

Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.

Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.

Msaada ndugu zangu.
Kuna njia nzuri ya kumsahau,ila kwa waislam,kuna kitu unakunywa hutomkumbuka daima,


Kwa wewe labda uko upande wenu watakusaidia
 
Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.

Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.

Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.

Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.

Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.

Msaada ndugu zangu.
Huna kazi ya kufanya wewe.
 
Habar zenu wanna jamiiforums kher ya mwaka mpya.

Naomba msaada wa kuweza kuacha kumwaza na kumkumbuka yule ambaye bado nampenda sanaaa. Nilikuwa na mahusiano na binti ambaye kwakweli haijawah isha siku nisimkumbuke. Namuwaza mpaka mda mwingine nahisi bado nipo naye karibu yangu na imepelekea pia nikimwona bint ghafla nahisi Kam nimemwona yeye.

Ni kiumbe kilichojaa kwenye maisha yangu ya hisia mpaka akili..nimejitahid kujiweka busy na kazi mzoezi maji mengi lakin wapi. Tulipotengana kwa sababu za kidni juu ya wazazi wake kukaidi kuliko kukuu na walisema hawez bint yetu akaolewa dar na sisi nduguze wote tupo kigoma.

Yani vipingamizi vilikuwa vingi mnoo ilifika hatua yule bint alitoroka kwao kigoma na kuja dar mwishoe wakanipa kesi nimemtorosha mtoto wao..na nilishwahi funga safari dar~kigoma na wazaz wangu kwa ajir ya kutoa posa lakin walichokifanya ndugu zangu ni hatar sanaaa.

Namshukuru MUNGU tulirudi salama mengi ya kuyasema ila bado namkumbuka sanaaa na mwaka unaisha tokea nimepata hayo madhira.bado nampenda na namkumbuka sanaa.

Msaada ndugu zangu.
...Utoto Raha Sana...Ukikua Utajua ' Wako Wengi Hawa' na ' Wazuri Hawajazaliwa' !!!....[emoji846]

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
Huyo Muha ndio anakufanya upate kichaa, usikute kawekelea kitu maana kigoma ni makanjanja sana kwenye ufalme wa roho hasa Kule gizani
 
Back
Top Bottom