sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
-
- #21
Hatari i kubwa sana, hata watu wanaopita kwa miguu hapa wataanza kukabwa, pia hata ma house girl wanweza kurubuniwa na hawa watu wakatuvamia usiku maana wengi hawana shughuli za vipato na wanapenda bangi sana, mvuta bangi akiwa na kiu (arosto) ni hatari sanaWeka fence ya umeme kwako, hao mapusha hawatasogelea kwako.
Kifupi ni kwamba wewe imarisha ulinzi wa nyumbani kwako tuu basiii, mengine achana nayo.
tayari nimemwambia mkuu, anajiamini sanaMwite faragha umueleze kuwa aachane na hiyo kazi ya uuzaji wa bangi
kwa hawa mapolisi wetu siwaaminikiona haelewei somo,tafuta askari polisi umueleze kama ulivyo eleza hapa kuwa hataki afungwe ila unataka kumtisha tu
just imagineHauko serious mkuu, siku ndugu zake wanakuja mtembelea waanze kukabwa njiani na wavuta bangi
Hamna ongea nao tu mana na wao ni binadamu kama ww na mm watakuelewa tutayari nimemwambia mkuu, anajiamini sana
kwa hawa mapolisi wetu siwaamini
Mvuta bangi mwenzangu upo?😂Mkuu hizo bangi mimi sio mgeni..... ni mstaafu
Hivi kwa akili yako unadhani haya makapi ya jero (shilingi 500) ndio bangi wanazovuta marekani ama ulaya??
Huku kwetu tunalima bangi nzuri sana yenye kiwango cha juu ila sasa wakulima wenyewe wanawahi kuvuna bangi mbichi kuogopa kukamatwa, bangi wakipanda hawazihudumii kutoa wadudu wanaoharibu maua, hawatoi vifundo vilivyooza, n.k. nae pusha ni mweupe tu yeye anachojua ni kusambaza tu, anaangalia kama imetoka mkoa unaosifiwa, hata akipewa ambayo haijakomaa ama ambayo imevunwa miezi mitatu iliyopita ananunua hivyo hivyo tu, huku kwa wateja ndio awaonea huruma maana waavuta uchafu wa 500 wakidhani wanavutakitu chenyewe, matokeo yake ndio haya wengine vichwa vinauma, macho yanakuwa mekundu kuzidi kiwango cha kawaida cha bangi halisi, wengine wanakuwa vichaa kabisa.
Unaeza kusoma uzi wangu huu wa elimu kamili ya kujua kutofautisha makapi na bangi.
Kuna siku nimepita hapo kwa dogo asubuhi, niliucheki mzigo wake ni makapi yale yale tu ya jero, siwezi vuta uchafu huo, ni heri ninunue skank kitu orijino kwa elf 10 kuliko huu uchafu wa jero
Kiasi kikubwa cha bangi ya hapa nchini ni kushabu, watu wanavuta makapi sio bangi
Kushabu/Koshabu ni bangi ambayo haijakidhi viwango, unaweza kusema ni makapi pia. Inakuaga Ndio aina ya bangi ambayo huuzwa kwa kiasi kikubwa hapa nchini, kati ya wauzaji 10 wauzaji tisa huuza kushabu. huyo mmoja aliebaki hadi kumpata ni mpaka connection, nadra sana kumpata kiukweli, ubora...www.jamiiforums.com
Wavuta bhange wasio na hela ngumu kukuelewaHamna ongea nao tu mana na wao ni binadamu kama ww na mm watakuelewa tu
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
stiki 3 zote za nini, itakuwa kushabu za jero hizo.Bangii ndio hzi auView attachment 2077346
Ukiona haelewei somo,tafuta askari polisi umueleze kama ulivyo eleza hapa kuwa hataki afungwe ila unataka kumtisha tu aachane na hiyo kazi so aende akiwa na Uniform then amwite faragha pia amueleze kuwa wamepokea malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya biashara yake hiyo haramuMwite faragha umueleze kuwa aachane na hiyo kazi ya uuzaji wa bangi aendelee na hiyo nyingine sababu itamletea matatizo,na umwambie umesikia kuna mpango mkakati wa kumkamata ili aweke ndani ikibidi afungwe.
So kwa vile ww ni rafiki yake umeamua kumueleza ili achukue hatua mapema kabla hakijamsanukia.
Ukiona haelewei somo,tafuta askari polisi umueleze kama ulivyo eleza hapa kuwa hataki afungwe ila unataka kumtisha tu aachane na hiyo kazi so aende akiwa na Uniform then amwite faragha pia amueleze kuwa wamepokea malalamiko kutoka kwa wananchi juu ya biashara yake hiyo haramu.
Hivyo anamuomba aachane nayo kabla hawajamchukulia hatua zinazostahiki.asipoelewa tena hapo mm pamoja na ww tunatakiwa kunawa mikono kama alivyofanya pilato.
Unanivunja nguvu bestiBangi iko poa tu ihalalishwe
Itabidi utakavyomuweka kambani na ushahidi uwepo!Mtie kambani tu kama hashauriki
Mamwera sehemu zote zinapouzwa bangi wanazijua sasa ukienda kushtaki utaulizwa anauza puli ngapi za bangi? Mwera akijua pusha anauza Sana bangi atakuja kuchukua mgao wake....!!!Hapa jirani yupo muuza gongo bangi nk inapotokea mtu akienda kumsema polisi akichukuliwa asubuhi anahonga na hao hao wanamwambia aliyemtaja kuwa anauza haramu.
Hapo unakuwa visa hadi uliyeenda polisi unaikkmbia nyumba yako.
Amua mwenyewe la kufanya lakini ujue hao wavutaji watakufanyizia tu.
Huyo pusha muache aendelee na kazi yake usimsumbue anajua anachokifanya.View attachment 2077018
Mtaani kwangu kuna kijana yupo hapa kwa miezi miwili, yupo kwenye rika la miaka 24 hivi, ana frem anauza mahitaji ya nyumbani na vilevi, lakini biashara yake kuu yenye wateja wengi ni Bangi ambayo wanunuzi huvuta hapo hapo ama maeneo ya karibu, eneo sio la barabarani, huwa kuna watu wachche wanatumia hii njia.
Ni kijana mjanja mjanja, nilienda siku moja hapo kumcheki, kiukweli ana kipaji kikubwa sana cha kutengeneza urafiki, ndani ya dakika 4 tu tushazoeana na matani ya hapa na pale maana mimi pia nipo miaka 31 so ni kijana mwenzangu.
Sina tatizo na dogo ila ni hawa wavuta bangi, wengi hawana shughuli za kuwaingizia vipato, wakivuta bangi wanasizi tu, Pia bangi wanazovuta ni haya makapi ya shilingi 500 yanayouzwa karibu kila kona ya nchi, sasa hawa vijana kama hawajishughulishi na wanapenda bangi kinachofuata huwa ni wizi / utapeli, pia hatari kubwa ipo kwa ma house girl tunaowaachia nyumba zetu tukiondoka, wanaweza kurubuniwa na hawa vijana kirahisi.
Nyumba zipo 9 kwenye huu mtaa na zote zina fensi na mageti lakini kuna matukio kadhaa yamewahi kutokea watu kuibiwa nguo, tv, n.k. japo ni nadra, hatutaki yajirudie mara kwa mara.
Sasa ili kutatua matatizo hayo kabla hayajatokea mimi nimeona nishughulike haraka, ila kwa sharti moja tu, sitaki kushirikisha mkono wa sheria kwa sababu dogo anaweza kuishia mahabusu kesi yake ikasikilizwa 2040 na akienda mahakamani ni miaka 30 jela. Kinachonifanya nikwepe kutumia sheria ni hayo maisha ya Jela na Mahabusu kwa huku bongo, asikwambie mtu hizo sehemu hazifai hata kidogo, sikiaga tu flani yupo huko, sio kuzuri hata chembe.
Niliwahi kumwambia hio ishu itamuharibia life lakini dogo yeye anasema hakuna pusha asiejua hatari ya biashara anayofanya, anasema hajaingia kichwa kichwa anajua anachokifanya, kiufupi anajiamini sana lakini haiondoi uhalisia kwamba bado yupo hatarini.
Kijana ana miaka 24, haitakuwa vema mimi nihusike kwa yeye kutoka jela akiwa kamalizia ujana nyuma ya nondo.
Ni vipi nitaweza kutatua hili tatizo bila kushirikisa polisi.
We unaelewa torati ya mtaa.Mamwera sehemu zote zinapouzwa bangi wanazijua sasa ukienda kushtaki utaulizwa anauza puli ngapi za bangi? Mwera akijua pusha anauza Sana bangi atakuja kuchukua mgao wake....!!!
Na huu umeme unavyokatika katika hivi si ndio watamuibia hadi bawaba za milangoWeka fence ya umeme kwako, hao mapusha hawatasogelea kwako.
Kifupi ni kwamba wewe imarisha ulinzi wa nyumbani kwako tuu basiii, mengine achana nayo.