Nawezaje kumtoa pusha wa mtaani bila kutumia Polisi, sitaki dhambi ya kumfanya mtu atoke jela akiwa mzee

Nawezaje kumtoa pusha wa mtaani bila kutumia Polisi, sitaki dhambi ya kumfanya mtu atoke jela akiwa mzee

Amna mtu anaishi kwa woga kama pusha huyo dogo asikuchimbe biti mzee.
we mwambie mtaani wameweka kikao kuna vijana wanapora kwahiyo hawataki makundi maana auze ila wasivutie hiyo sehemu mwela mda wowote wataibuka afu ulete mrejesho.
 
Mkuu hizo bangi mimi sio mgeni..... ni mstaafu

Hivi kwa akili yako unadhani haya makapi ya jero (shilingi 500) ndio bangi wanazovuta marekani ama ulaya??

Huku kwetu tunalima bangi nzuri sana yenye kiwango cha juu ila sasa wakulima wenyewe wanawahi kuvuna bangi mbichi kuogopa kukamatwa, bangi wakipanda hawazihudumii kutoa wadudu wanaoharibu maua, hawatoi vifundo vilivyooza, n.k. nae pusha ni mweupe tu yeye anachojua ni kusambaza tu, anaangalia kama imetoka mkoa unaosifiwa, hata akipewa ambayo haijakomaa ama ambayo imevunwa miezi mitatu iliyopita ananunua hivyo hivyo tu, huku kwa wateja ndio awaonea huruma maana waavuta uchafu wa 500 wakidhani wanavutakitu chenyewe, matokeo yake ndio haya wengine vichwa vinauma, macho yanakuwa mekundu kuzidi kiwango cha kawaida cha bangi halisi, wengine wanakuwa vichaa kabisa.

Unaeza kusoma uzi wangu huu wa elimu kamili ya kujua kutofautisha makapi na bangi.

Kuna siku nimepita hapo kwa dogo asubuhi, niliucheki mzigo wake ni makapi yale yale tu ya jero, siwezi vuta uchafu huo, ni heri ninunue skank kitu orijino kwa elf 10 kuliko huu uchafu wa jero

Mkuu skank og napateje?
 
View attachment 2077018

Mtaani kwangu kuna kijana yupo hapa kwa miezi miwili, yupo kwenye rika la miaka 24 hivi, ana frem anauza mahitaji ya nyumbani na vilevi, lakini biashara yake kuu yenye wateja wengi ni Bangi ambayo wanunuzi huvuta hapo hapo ama maeneo ya karibu, eneo sio la barabarani, huwa kuna watu wachche wanatumia hii njia.

Ni kijana mjanja mjanja, nilienda siku moja hapo kumcheki, kiukweli ana kipaji kikubwa sana cha kutengeneza urafiki, ndani ya dakika 4 tu tushazoeana na matani ya hapa na pale maana mimi pia nipo miaka 31 so ni kijana mwenzangu.

Sina tatizo na dogo ila ni hawa wavuta bangi, wengi hawana shughuli za kuwaingizia vipato, wakivuta bangi wanasizi tu, Pia bangi wanazovuta ni haya makapi ya shilingi 500 yanayouzwa karibu kila kona ya nchi, sasa hawa vijana kama hawajishughulishi na wanapenda bangi kinachofuata huwa ni wizi / utapeli, pia hatari kubwa ipo kwa ma house girl tunaowaachia nyumba zetu tukiondoka, wanaweza kurubuniwa na hawa vijana kirahisi.

Nyumba zipo 9 kwenye huu mtaa na zote zina fensi na mageti lakini kuna matukio kadhaa yamewahi kutokea watu kuibiwa nguo, tv, n.k. japo ni nadra, hatutaki yajirudie mara kwa mara.

Sasa ili kutatua matatizo hayo kabla hayajatokea mimi nimeona nishughulike haraka, ila kwa sharti moja tu, sitaki kushirikisha mkono wa sheria kwa sababu dogo anaweza kuishia mahabusu kesi yake ikasikilizwa 2040 na akienda mahakamani ni miaka 30 jela. Kinachonifanya nikwepe kutumia sheria ni hayo maisha ya Jela na Mahabusu kwa huku bongo, asikwambie mtu hizo sehemu hazifai hata kidogo, sikiaga tu flani yupo huko, sio kuzuri hata chembe.

Niliwahi kumwambia hio ishu itamuharibia life lakini dogo yeye anasema hakuna pusha asiejua hatari ya biashara anayofanya, anasema hajaingia kichwa kichwa anajua anachokifanya, kiufupi anajiamini sana lakini haiondoi uhalisia kwamba bado yupo hatarini.

Kijana ana miaka 24, haitakuwa vema mimi nihusike kwa yeye kutoka jela akiwa kamalizia ujana nyuma ya nondo.

Ni vipi nitaweza kutatua hili tatizo bila kushirikisa polisi.
Acha kufuatilia maisha ya watu,mola alimleta kwa ajili ya kufanya kazi hiyo nawe unauhakika gani kazi unayoifanya ni safi kwa mola?
 
Mwache auze ganja! Bangi haisababishi watu kuwa waovu, ila dini ndo zimetudanganya kuwa uovu mwingi unasababishwa na bangi na pia ukichaa.

Vuta bangi kama research yako then uine kama kweli ganja husababisha hizo mambo.

Usisababishie watu matatizo, mimi nimeanza kuvuta bangi mwaka juzi, na sijutii kuvuta bange inasaidia vitu vingi na wala haishawishi kufanya jambo baya bali inakupa hali ya kutulia.

Wavuta bange ni watu wa hisia za kutulia sio machafuko.
Hapo kwenye kusaidia vitu vingi. kwel inaweza kuwa Dawa maana mtaani kwetu karibu watu wote wamepigwa na ile Homa ,isipo kuwa wala nganja tu.
 
Kuna makapi haya yanayouzwa kwa 500 karibu kila kona ya nchi haya ni kwajili ya watu wasiojua wanachovuta ama hawana pesa, hata ho kina afande sele nao na urasta wao huenda wanavuta makapi a.k.a kushabu.

Kwa mtu tajir ndio anavuta bangi, bangi anayovuta ni ile inayochambuliwa pembeni kivyake, haichanganywi na hayo makapi a jero
Sasa kama ni makapi wew yanakupa shida gani
??? Si ufate mambo yako
 
View attachment 2077018

Mtaani kwangu kuna kijana yupo hapa kwa miezi miwili, yupo kwenye rika la miaka 24 hivi, ana frem anauza mahitaji ya nyumbani na vilevi, lakini biashara yake kuu yenye wateja wengi ni Bangi ambayo wanunuzi huvuta hapo hapo ama maeneo ya karibu, eneo sio la barabarani, huwa kuna watu wachche wanatumia hii njia.

Ni kijana mjanja mjanja, nilienda siku moja hapo kumcheki, kiukweli ana kipaji kikubwa sana cha kutengeneza urafiki, ndani ya dakika 4 tu tushazoeana na matani ya hapa na pale maana mimi pia nipo miaka 31 so ni kijana mwenzangu.

Sina tatizo na dogo ila ni hawa wavuta bangi, wengi hawana shughuli za kuwaingizia vipato, wakivuta bangi wanasizi tu, Pia bangi wanazovuta ni haya makapi ya shilingi 500 yanayouzwa karibu kila kona ya nchi, sasa hawa vijana kama hawajishughulishi na wanapenda bangi kinachofuata huwa ni wizi / utapeli, pia hatari kubwa ipo kwa ma house girl tunaowaachia nyumba zetu tukiondoka, wanaweza kurubuniwa na hawa vijana kirahisi.

Nyumba zipo 9 kwenye huu mtaa na zote zina fensi na mageti lakini kuna matukio kadhaa yamewahi kutokea watu kuibiwa nguo, tv, n.k. japo ni nadra, hatutaki yajirudie mara kwa mara.

Sasa ili kutatua matatizo hayo kabla hayajatokea mimi nimeona nishughulike haraka, ila kwa sharti moja tu, sitaki kushirikisha mkono wa sheria kwa sababu dogo anaweza kuishia mahabusu kesi yake ikasikilizwa 2040 na akienda mahakamani ni miaka 30 jela. Kinachonifanya nikwepe kutumia sheria ni hayo maisha ya Jela na Mahabusu kwa huku bongo, asikwambie mtu hizo sehemu hazifai hata kidogo, sikiaga tu flani yupo huko, sio kuzuri hata chembe.

Niliwahi kumwambia hio ishu itamuharibia life lakini dogo yeye anasema hakuna pusha asiejua hatari ya biashara anayofanya, anasema hajaingia kichwa kichwa anajua anachokifanya, kiufupi anajiamini sana lakini haiondoi uhalisia kwamba bado yupo hatarini.

Kijana ana miaka 24, haitakuwa vema mimi nihusike kwa yeye kutoka jela akiwa kamalizia ujana nyuma ya nondo.

Ni vipi nitaweza kutatua hili tatizo bila kushirikisa polisi.
Ukisoma kitabu au kuangalia muvi ya THE GODFATHER utapata njia ya kutatua....huo ndio ushauri wangu kwa sasa...one day utakuja hapa kunishukuru......
 
Msaidie aachane na hiyo mishe siku wakimdandia hatoamini wanaompa ujanja ni watu wadogo sana akikaa segerea miaka miwili afu akala mvua ya miaka30 hatoamini hmna pusha mjanja bongo kwa hii sheria ya madawa ya kulevya heroine,cocaine,bangi na mirungi!
 
Dogo anajiona kama pablo ama el chapo flani hivi, hashauriki
Mtatfte jamaa mwingine ambae haishi mtaa huo then muelezee inshu ya dogo. Mpange aende kwa dogo kama mteja wa bandi then akifika na kuikuta amwambie mimi ni afisa upelelezi nimetumwa kwako kuja kukupeleleza nimekuona bado kijana sana wa kutumikia miaka 30, una ndoto nyingi sana ambazo hujatimiza, nimekuhurumia mdogo wako kukupeleka jela. Uungwana wangu kwako ni kuacha hii biashara haram. Ukikaidi na kuendelea nayo basi wew ni mfungwa mtalajiwa, serikali inamkono mrefu tutakupata tu popote pale.
 
View attachment 2077018

Mtaani kwangu kuna kijana yupo hapa kwa miezi miwili, yupo kwenye rika la miaka 24 hivi, ana frem anauza mahitaji ya nyumbani na vilevi, lakini biashara yake kuu yenye wateja wengi ni Bangi ambayo wanunuzi huvuta hapo hapo ama maeneo ya karibu, eneo sio la barabarani, huwa kuna watu wachche wanatumia hii njia.

Ni kijana mjanja mjanja, nilienda siku moja hapo kumcheki, kiukweli ana kipaji kikubwa sana cha kutengeneza urafiki, ndani ya dakika 4 tu tushazoeana na matani ya hapa na pale maana mimi pia nipo miaka 31 so ni kijana mwenzangu.

Sina tatizo na dogo ila ni hawa wavuta bangi, wengi hawana shughuli za kuwaingizia vipato, wakivuta bangi wanasizi tu, Pia bangi wanazovuta ni haya makapi ya shilingi 500 yanayouzwa karibu kila kona ya nchi, sasa hawa vijana kama hawajishughulishi na wanapenda bangi kinachofuata huwa ni wizi / utapeli, pia hatari kubwa ipo kwa ma house girl tunaowaachia nyumba zetu tukiondoka, wanaweza kurubuniwa na hawa vijana kirahisi.

Nyumba zipo 9 kwenye huu mtaa na zote zina fensi na mageti lakini kuna matukio kadhaa yamewahi kutokea watu kuibiwa nguo, tv, n.k. japo ni nadra, hatutaki yajirudie mara kwa mara.

Sasa ili kutatua matatizo hayo kabla hayajatokea mimi nimeona nishughulike haraka, ila kwa sharti moja tu, sitaki kushirikisha mkono wa sheria kwa sababu dogo anaweza kuishia mahabusu kesi yake ikasikilizwa 2040 na akienda mahakamani ni miaka 30 jela. Kinachonifanya nikwepe kutumia sheria ni hayo maisha ya Jela na Mahabusu kwa huku bongo, asikwambie mtu hizo sehemu hazifai hata kidogo, sikiaga tu flani yupo huko, sio kuzuri hata chembe.

Niliwahi kumwambia hio ishu itamuharibia life lakini dogo yeye anasema hakuna pusha asiejua hatari ya biashara anayofanya, anasema hajaingia kichwa kichwa anajua anachokifanya, kiufupi anajiamini sana lakini haiondoi uhalisia kwamba bado yupo hatarini.

Kijana ana miaka 24, haitakuwa vema mimi nihusike kwa yeye kutoka jela akiwa kamalizia ujana nyuma ya nondo.

Ni vipi nitaweza kutatua hili tatizo bila kushirikisa polisi.
Kwanini usifanye maisha yako tu, kwani kuna mtoto au ndugu yako mteja wa huyo sadali?

Bangi haina madhara ya moja kwa moja kwa jamii.
 
Mtatfte jamaa mwingine ambae haishi mtaa huo then muelezee inshu ya dogo. Mpange aende kwa dogo kama mteja wa bandi then akifika na kuikuta amwambie mimi ni afisa upelelezi nimetumwa kwako kuja kukupeleleza nimekuona bado kijana sana wa kutumikia miaka 30, una ndoto nyingi sana ambazo hujatimiza, nimekuhurumia mdogo wako kukupeleka jela. Uungwana wangu kwako ni kuacha hii biashara haram. Ukikaidi na kuendelea nayo basi wew ni mfungwa mtalajiwa, serikali inamkono mrefu tutakupata tu popote pale.

Sio rahisi kwa hao wauza bangi kumuuzia bangi mtu asiyemfahamu.
Kwa ushauri wangu wamuelekeze huyo pusha aache hiyo biashara kwa sheria ilivyobadilishwa bangi imeingizwa kwenye kundi la madawa ya kulevya aina ya cocaine.
Kama ana kiosk aongeze mtaji kwenye bidhaa nyingine halali
Ikiwezekana ongeeni na mwenyekiti wa mtaa au mzee maarufu mtaani amuonye aache hiyo biashara haramu ikishindikana kamlipue tu polisi madawa ya kulevya yote pamoja na bangi sio
 
Mtatfte jamaa mwingine ambae haishi mtaa huo then muelezee inshu ya dogo. Mpange aende kwa dogo kama mteja wa bandi then akifika na kuikuta amwambie mimi ni afisa upelelezi nimetumwa kwako kuja kukupeleleza nimekuona bado kijana sana wa kutumikia miaka 30, una ndoto nyingi sana ambazo hujatimiza, nimekuhurumia mdogo wako kukupeleka jela. Uungwana wangu kwako ni kuacha hii biashara haram. Ukikaidi na kuendelea nayo basi wew ni mfungwa mtalajiwa, serikali inamkono mrefu tutakupata tu popote pale.
Mkwara huu....!!!
 
Back
Top Bottom