Nawezaje kumuombea huyu ndugu yangu nafasi ya kuwa kocha wa Simba?

Nawezaje kumuombea huyu ndugu yangu nafasi ya kuwa kocha wa Simba?

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,022
Reaction score
16,563
Wanajukwaa kuna ndugu yangu huku kijijini ni shabiki mkubwa wa club ya Simba sports club toka miaka ya 1990's kwa sasa anajihusisha na kukochi team ya kijiji na kaifikisha mbali sana

Sasa baada ya kuona nafasi ya kocha mkuu wa team ya Simba ikiwa wazi amekuwa akinisumbua mara kwa mara kwa nijaribu kutumia maujanja yangu ya mtandaoni kumwezesha aipate nafasi ya kuinoa club ya Simba msimu unaokuja

Niwe muwazi jamaa ni kocha mzuri sana na ninaamini kabisa ataweza kuirudisha club ya Simba kileleni endapo akipatiwa nafasi ya kuinoa club hiyo.Sasa swali ni je nitumie mbinu gani kufanikisha ndoto ya huyu mwamba kupatiwa nafasi ya kuinoa Simba
 
Wanajukwaa kuna ndugu yangu huku kijijini ni shabiki mkubwa wa club ya Simba sports club toka miaka ya 1990's kwa sasa anajihusisha na kukochi team ya kijiji na kaifikisha mbali sana

Sasa baada ya kuona nafasi ya kocha mkuu wa team ya Simba ikiwa wazi amekuwa akinisumbua mara kwa mara kwa nijaribu kutumia maujanja yangu ya mtandaoni kumwezesha aipate nafasi ya kuinoa club ya Simba msimu unaokuja

Niwe muwazi jamaa ni kocha mzuri sana na ninaamini kabisa ataweza kuirudisha club ya Simba kileleni endapo akipatiwa nafasi ya kuinoa club hiyo.Sasa swali ni je nitumie mbinu gani kufanikisha ndoto ya huyu mwamba kupatiwa nafasi ya kuinoa Simba
Ana vyeti ?
 
Hiyo Kazi atapata Mkuu Cha muhimu aweke cv yake maana Simba Ni timu ndogo hawez kosa kazi
 
Nilisikitika Alipotaka Ukocha Simba George Magere Masatu alikosa Pamoja na Kuwa na Uzoefu na Vyeti vyote…
Thimba ni Mpaka Uloge na Ushikwe mkono na Bodi!
 
Wanajukwaa kuna ndugu yangu huku kijijini ni shabiki mkubwa wa club ya Simba sports club toka miaka ya 1990's kwa sasa anajihusisha na kukochi team ya kijiji na kaifikisha mbali sana

Sasa baada ya kuona nafasi ya kocha mkuu wa team ya Simba ikiwa wazi amekuwa akinisumbua mara kwa mara kwa nijaribu kutumia maujanja yangu ya mtandaoni kumwezesha aipate nafasi ya kuinoa club ya Simba msimu unaokuja

Niwe muwazi jamaa ni kocha mzuri sana na ninaamini kabisa ataweza kuirudisha club ya Simba kileleni endapo akipatiwa nafasi ya kuinoa club hiyo.Sasa swali ni je nitumie mbinu gani kufanikisha ndoto ya huyu mwamba kupatiwa nafasi ya kuinoa Simba
Kwenye CV yake aandike kuwa alishawahi kuwa kocha wa Barcelona au Real Madrid ya uhispania
 
Unatufunga kamba timu ya kijiji chako imefika mbali wapi mbinguni au ipo ligi ya ulaya sasa hvi[emoji23][emoji23] unatuchukuliaje kutudanganya live
 
Aende pale msimbazi akiwa na cheti cha darasa la 7.
Cheti cha kushiriki umitashumta
Cheti cha ndoa
Cheti cha kuhitimu mafunzo ya loliondo college of miujiza
Awe tayari kufukuzwa muda wowote simba inapofungwa na yanga
Asiwe na cheti cha hotel management..maan kuna muda atahitajika kumpikia mo.
 
Back
Top Bottom