Anza na za nyumbani kwanza
Ila kweli kampuni za kibongo miyeyushoWatu hawana hamu. Wameshapigwa na Vodacom
Haya mambo ya Hisa huwa naona km ni utapeli. Hata ukidhulumiwa hauna sehemu ya kushitaki na ukapewa pesa zako.
Kwenye hii app,wakati wakujisajiri ukiandika ichi Tanzania inagoma umetumia nchi gani wewe ambayo unatumiaUkitaka kuwekeza kwenye stocks, tafuta app inaitwa trading212 au ingia kwenye website yake kwa ku google trading212. Pia ukitaka kupiga pesa wekeza kwenye stocks za US. Mfano AAL, PARKING HOTEL, OIL COMPANY. ZIKO NYING ZA KUWEKA ..
Hata $500 inakutosha kununua hisa, tena kuna wakati hisa zinavunjwa vunjwa unaunua kwa vipande.Kwanza unatakiwa uwe na fedha ya kutosha unayotaka kununulia hisa 200m+
Hapana sio kweliHisa za makampuni ya nje ni gharama sana, sio mtu Una ka 15 million unataka kununua hisa USA hiwezi labda nchi ya kina kambole. hizo company hapo unakuta hisa moja ni $-100,000/=. Ukiikonvert kwene karatasi zetu za kuchambia inazidi million 200 na kidogo.
AsanteKuna brokers wanawezesha kununua hizo hisa.
Mfano Interactive Brokers unaweza nunua hata hisa za kampuni yeyote duniani.
Achana na kununua tu, unaweza wekeza kwenye ETFs, Mutual Funds, Indices. Waweza trade Options, Stocks, Forex, Futures etc.
They are the largest stock brokers in the world.
Their commision is very small.
Before mm nilijisajiri kawaida na kuwa verified, maybe kwa sasa wamebadilisha policy zao. Maana nilijisajiri since 2019.Kwenye hii app,wakati wakujisajiri ukiandika ichi Tanzania inagoma umetumia nchi gani wewe ambayo unatumia
Za nyumbani kama akina Vodacom wametuchukulia hela zote halafu hakuna mpango wowote.Anza na za nyumbani kwanza
MuongoHisa za makampuni ya nje ni gharama sana, sio mtu Una ka 15 million unataka kununua hisa USA hiwezi labda nchi ya kina kambole. hizo company hapo unakuta hisa moja ni $-100,000/=. Ukiikonvert kwene karatasi zetu za kuchambia inazidi million 200 na kidogo.