Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,496
Sio brokers wote wanaruhusu watanzania kufungua account kwao.Ingia Google search
"best stock brokers 2022"
Then chagua utakayoiona inakufaa
As of now,
Interactive brokers na Tradestation pekee ndo wanaruhusu watanzania kufungua account kwao.
TD Ameritrade walikuwa wanaruhusu kipindi cha nyuma ila sasa wamepigwa pini na BOT.