Nawezaje kuona yasiyoonekana kwa macho ya kawaida?

Nawezaje kuona yasiyoonekana kwa macho ya kawaida?

Slave

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2010
Posts
5,313
Reaction score
2,646
Kuna watu wengi husema eti kuna baadhi ya waganga huwa wanaweza kukuonyesha tv asili na ukaona picha kama kuna mtu alikufanyia ubaya ukamuoa live mie nimejaribu kupita kwa hao waganga wanao aminiwa kwa kuonyesha tv hizo lakini sijawahi kuona lolote mpaka waganga wanashangaa kwanini sioni sasa je nikweli hayo mambo ya kuona tv za waganga yapo?mbona mie sionagi?
 
Kuna watu wengi husema eti kuna baadhi ya waganga huwa wanaweza kukuonyesha tv asili na ukaona picha kama kuna mtu alikufanyia ubaya ukamuoa live mie nimejaribu kupita kwa hao waganga wanao aminiwa kwa kuonyesha tv hizo lakini sijawahi kuona lolote mpaka waganga wanashangaa kwanini sioni sasa je nikweli hayo mambo ya kuona tv za waganga yapo?mbona mie sionagi?

Sio lazima uende kwa waganga if you have clairvoyance ability you can see what others cant see remember man is 1/10 conscious the other 9 is hidden.
 
Sio lazima uende kwa waganga if you have clairvoyance ability you can see what others cant see remember man is 1/10 conscious the other 9 is hidden.

Mkuu chaUkucha naona umeongea jambo jipya maskioni mwangu!,naomba ufafanue hiyo 1/10 conciousness ya mwanadamu kwa faida yangu na wengine humu jamvini
 
Mkuu chaUkucha naona umeongea jambo jipya maskioni mwangu!,naomba ufafanue hiyo 1/10 conciousness ya mwanadamu kwa faida yangu na wengine humu jamvini

When the student is ready the teacher will appear,BTW, kuna walimu wengi humu jamvini
ni hivi tunaishi katika ulimwengu wa aina mbili
3 dimension na 4 dimension
3D ndo huu ulimwengu wa kawaida tunaoishi wa kula, kuvaa, ku chat nk lakini 4D ni ulimwengu usioonekana ambapo mleta mada akiingia huko ataona kila kitu bila msaada wa mganga.
 
Mkuu chaUkucha naona umeongea jambo jipya maskioni mwangu!,naomba ufafanue hiyo 1/10 conciousness ya mwanadamu kwa faida yangu na wengine humu jamvini

Ina maana 3D ni 1/10 then the other 9 is 4D hii ni kwa makumi tukiiweka kwa mamia ni 12/100
 
Sasa MTU unawezaje kuwa Na hiyo clear vision
Yaani unaipataje ,tusaidiane hapo ,inaweza kunifaa Mimi hiyo.
 
Wewe usiombe kuona yasiyoonekana kwa macho ya kawaida. Yani unaweza ukaoneshwa mambo makubwa magumu ambayo akili yako ya kawaida haiwezi kumudu. Utakosa raha kwa muda mrefu. Wengine wenye huo uwezo tunatamani uondolewe!
 
Sasa MTU unawezaje kuwa Na hiyo clear vision
Yaani unaipataje ,tusaidiane hapo ,inaweza kunifaa Mimi hiyo.

Through training, including telepathy, aura reading and astral travel zingine nazani zipo automatical.
 
Back
Top Bottom