Toa ushauri mama Acha kebehi 🤣Uko wapi.....
Zimwagie maji ya motoWakuu salaam.
Aisee Nina changamoto ya kuwa na garden Love Mbaya kuliko zote ambazo zinapatikana hapa Dunia hii.
Kama Kuna mtu anaweza jua namna ya kuzifanya angalau ziwe vizuri msaada.
Kama nikuzinyonyoa nishazinyoa lakini zikiota zinakuwa kama mwanzo.
Garden Love kama mkutuno wa sisimizi!!! Picha chini.View attachment 3039845
Toa ushauri mama Acha kebehi 🤣
Nn iyo?Wakuu salaam.
Aisee Nina changamoto ya kuwa na garden Love Mbaya kuliko zote ambazo zinapatikana hapa Dunia hii.
Kama Kuna mtu anaweza jua namna ya kuzifanya angalau ziwe vizuri msaada.
Kama nikuzinyonyoa nishazinyoa lakini zikiota zinakuwa kama mwanzo.
Garden Love kama mkutuno wa sisimizi!!! Picha chini.View attachment 3039845
8 people are hereSijamkebehi hata.....
Ila pia hiyo ni sehemu gani ya mwili? Kifua mbona hakina chuchu au???😊
Uko wapi.....
Ndio Nina watoto wawiliAhahahaha dah af utakuta huyu baba wa familia kabisa
Af bado una akili kama hiziNdio Nina watoto wawili
We ni KE au??
Kwa sisi wahenga tumia kibatari au mshumaa kuzinyoaWakuu salaam.
Aisee Nina changamoto ya kuwa na garden Love Mbaya kuliko zote ambazo zinapatikana hapa Dunia hii.
Kama Kuna mtu anaweza jua namna ya kuzifanya angalau ziwe vizuri msaada.
Kama nikuzinyonyoa nishazinyoa lakini zikiota zinakuwa kama mwanzo.
Garden Love kama mkutuno wa sisimizi!!! Picha chini
Shukurani mkuuHiz
Kwa sisi wahenga tumia kibatari au mshumaa kuzinyoa