Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuda sanaBora vya mtoa mada kuliko wewe sasa, yani wewe hutaki ndevu na huna ili upakwe makeup au halafu wanaume msio na ndevu wambea mbea sana nyie
Ila umasikini mbaya sana kudadeki. Yani unakuta huna hela na hata nywele ulizopewa bure na maulana zinagoma kuwa in order.... Ila ukikamata milioni 100 zinanyooka zenyewe....Wakuu salaam.
Aisee Nina changamoto ya kuwa na garden Love Mbaya kuliko zote ambazo zinapatikana hapa Dunia hii.
Kama Kuna mtu anaweza jua namna ya kuzifanya angalau ziwe vizuri msaada.
Kama nikuzinyonyoa nishazinyoa lakini zikiota zinakuwa kama mwanzo.
Garden Love kama mkutuno wa sisimizi!!! Picha chini.
View attachment 3039845
😹😹😹 uduguu sikuzidi wewe na baba tamu wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee ni chizi ujue, khaaah
😹😹😹 thubutuuu.!! Na wewe unakubali dada yako nitafunwe na wapare wa milimani??Huyu kijana ana effort sana, atakuja kukutafuna siku moja, haha
Mbona kama siafu wako kwenye kiaziWakuu salaam.
Aisee Nina changamoto ya kuwa na garden Love Mbaya kuliko zote ambazo zinapatikana hapa Dunia hii.
Kama Kuna mtu anaweza jua namna ya kuzifanya angalau ziwe vizuri msaada.
Kama nikuzinyonyoa nishazinyoa lakini zikiota zinakuwa kama mwanzo.
Garden Love kama mkutuno wa sisimizi!!! Picha chini.
View attachment 3039845
Mimi naweza nisikubali ila nyie nao kuna muda akili zenu zinawapotea kwa muda mkishapenda, haha😹😹😹 thubutuuu.!! Na wewe unakubali dada yako nitafunwe na wapare wa milimani??
😹😹😹 kwamba vigeugeu??Mimi naweza nisikubali ila nyie nao kuna muda akili zenu zinawapotea kwa muda mkishapenda, haha
Nakuja nashangaa tu unatoka zako Usangi huko, na kijana wa kipare umeamua umfate milimani ukamtunuku, haha😹😹😹 kwamba vigeugeu??
Hamna bana mimi nna msimamo bro
🤣🤣🤣 Acha basi isije kutokea kweli bure nisivyowapenda wapare sasa.!!Nakuja nashangaa tu unatoka zako Usangi huko, na kijana wa kipare umeamua umfate milimani ukamtunuku, haha
Na tuombe isiwe hivyo, maana nitaongea hadi kibuyu chako kisisimke, haha🤣🤣🤣 Acha basi isije kutokea kweli bure nisivyowapenda wapare sasa.!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umasikini unakuhusu kaka