Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,549
- 10,995
Je inakuwa halali haitoleta shida mbeleni labda kwa TRA maana namimi naitafuta sana Leseni na je ni TIN ya aina yoyote au lazima Business TIN naomba nieleweshe mkuu sina nachojua apoSiku moja hadi tatu
Lazima uanzie TRA. taratibu za tra unafata zote hadi kupata tax clearance certificateJe inakuwa halali haitoleta shida mbeleni labda kwa TRA maana namimi naitafuta sana Leseni na je ni TIN ya aina yoyote au lazima Business TIN naomba nieleweshe mkuu sina nachojua apo
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Mimi ninayo TIN lakini sio ya biashara je itakubali?Lazima uanzie TRA. taratibu za tra unafata zote hadi kupata tax clearance certificate
Unaenda TRA wanakuupdate fastaMimi ninayo TIN lakini sio ya biashara je itakubali?
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Na je kuna gharama yoyote TRA kwenye kupata documents zote?Unaenda TRA wanakuupdate fasta
Ni lazima uende kwanza TRA watakuuliza baadhi ya maswali kulingana na aina ya biashara unayotaka kufanya....halafu watakupa maelekezo ya namna ya kufanya ...ni vigumu kukujibu hapa moja kwa moja kwa maana hatujui aina ya biashara unayotaka kifanya.....Na je kuna gharama yoyote TRA kwenye kupata documents zote?
Wala usiwalaumu kwa maana siyo wewe peke yako uliyetuma Kuna watu wengi sana na inabidi hao maafisa wapitie kwa usahihi document zote kutegemeana na wingi wa watu walio apply hasa kwa Dar kwa maana watu ni wengi ....nimetuma nyaraka nina wiki na nusu, hamna majibu. wajinga sana hawa.
si unakuwa umefungua account, unayapata pale pale kwenye account.Wala usiwalaumu kwa maana siyo wewe peke yako uliyetuma Kuna watu wengi sana na inabidi hao maafisa wapitie kwa usahihi document zote kutegemeana na wingi wa watu walio apply hasa kwa Dar kwa maana watu ni wengi ....
na nikuulize swali...Unajua majibu yakitoka utayapata wapi??
Usije kukuta majibu yalishatoka kitambo na wewe hujui unasubiria tuu...[emoji23]
Ndyo hivyo wanaweka tiki ya kijani kwenye ile Application yako ya kuwa Approved. na kama ukiona wanachelewa sana jaribu kuwapigia wakuambie shida ni nini...kama ni Wingi wa watu walio apply au ni uzembe wao kutoku approve application kwa wakati...si unakuwa umefungua account, unayapata pale pale kwenye account.
Wajinga nyieWala usiwalaumu kwa maana siyo wewe peke yako uliyetuma Kuna watu wengi sana na inabidi hao maafisa wapitie kwa usahihi document zote kutegemeana na wingi wa watu walio apply hasa kwa Dar kwa maana watu ni wengi ....
na nikuulize swali...Unajua majibu yakitoka utayapata wapi??
Usije kukuta majibu yalishatoka kitambo na wewe hujui unasubiria tuu...[emoji23]
Asante....Wajinga nyie
Tausi portal ni kwa kuombea leseni. Kama unataka kusajili jina la biashara au kampuni brela ndio inahusikaKiongozi ukitumia mfumo wa TAUS PORTAL hamna umuhimu wa kutumia BRELA?
Kaka vipi kwa mtu ambaye biashara yake haina kodi ya pango labda frem ni yenu apo vp?
Bdo ulikuwa muoga ..wengine tumenunua tu bundle halafu kila kitu mpaka kuscan documents tukafanya kwa Simu....Kuna ofisi ya Halmashauri nilifika kuomba leseni wakasema kwasasa mteja aombe mwenyewe kwenye mfumo #tausi.tamisemi.co.tz nikamwambia kwangu itakuwa ngumu kama kuna uwezekano msaada kwenye tuta, afisa akasema nimpe 40k, nikamuuliza hapo ndio itakuwa tayari nitasubiri leseni pekee, akajibu hapana 40k ni gharama zake tu.
Tukaanza kupatana, mwisho akasema nikamtafutie 15k, nikajiuliza kwani yeye anafanya vipi aweze na mimi nishindwe, nikaenda steshenari wakasema gharama zote 10k, wao watanipa control no nikalipie.
Hiyo scanning kwa simu hadi nirudi skul, mara wanasema iwe kwenye pdf, au ndio maana simu zinacamera zaidi ya moja!!!?Bdo ulikuwa muoga ..wengine tumenunua tu bundle halafu kila kitu mpaka kuscan documents tukafanya kwa Simu....
Unachohitaji ni utulivu.
Hata uki google " Namna ya Kusajili biashara Tausi Portal" utapata maelekezo yoote 'A to Z' tena kwa njia ya picha....
Mimi nilipoenda ofisi za manispaa nikakuta kuna Wazee, na Watu wazima sana wanasubiria msaada nikaona aibu mwenyewe kijana mzima napanga foleni??
Hapana mkuu....scanner ya simu ukishascan kabla ya kusave inakuletea Option "Save as PDF"Hiyo scanning kwa simu hadi nirudi skul, mara wanasema iwe kwenye pdf, au ndio maana simu zinacamera zaidi ya moja!!!?