Hapana mkuu....scanner ya simu ukishascan kabla ya kusave inakuletea Option "Save as PDF"
Inategemea na ni scanner gani unayoitumia..
Ila kama unaona kutumia ya simu ni usumbufu basi Nenda stationary na simu ascan alafu akiwekee kwenye simu...
Ila hakikisha hiyo pdf isizidi ukubwa wa MB 1.8 .