Nawezaje kupata matokeo ya mwanafunzi anayesema amesahau namba yake?

Nawezaje kupata matokeo ya mwanafunzi anayesema amesahau namba yake?

Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Jina lake kamili na shule alosoma tu litakupeleka kwenye matokeo yake hata hivo ya nini sasa wakat mtu keshafel huyo?
 
Kama kaweza kusahau namba yake ya mtihani[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kama una matokeo yake ya mock, chukua namba yake hapo.
 
Watu tunakumbuka hadi namba za ue na tuna miaka kadhaa mtaani, yy ata miezi mitatu bado kadhasahau, mkuu huwa anakumbuka alipoweka hela? Kama ndiyo mpe tu mtaji mkuu😆
 
Kumbe unajua lengo lake, mtieni stick atakumbuka mbona.
 
Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Huenda hajafanya mtihani, a atafuta namna.. mtoto wa baba mkubwa alishawahi kufanya hvyi
 
Kazungusha huyo au ana div four chafu ya 30 na kuendelea mbele. Na Bora huyo sisi tuna ndugu yet baada ya kuona kapata 0 akatumia ya shosti yake kapata 4 ya 30. Baadae ikaja kugundulika alipata kipigo Cha mbwa mwiz na kufukuzwa hom na baba yake.
 
Back
Top Bottom