DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Haya mambo ñinoma.Kazungusha huyo au ana div four chafu ya 30 na kuendelea mbele. Na Bora huyo sisi tuna ndugu yet baada ya kuona kapata 0 akatumia ya shosti yake kapata 4 ya 30. Baadae ikaja kugundulika alipata kipigo Cha mbwa mwiz na kufukuzwa hom na baba yake.
Hahaha anajifanya mjanja wakati wazazi wake walishapita huko kote😂😂Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Namna pekee ni kuwasiliana na shule yake wakupe namba yake.Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Mhhhhh, nyie watu huyu cameraman apatiwe zawadi
Ni wa kike, tumfungulie banda la mama lishe au tumtafutie mume?
Hata kufua jichupi lake hajuiNamuomba Kama ni Pisi kali
Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
kazi rahisi mno wapigie simu walimu wa shule aliyosoma kule kuna namba na majinaHuyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Ok thankskazi rahisi mno wapigie simu walimu wa shule aliyosoma kule kuna namba na majina
Akifa kwani ni hasara ya nani?Msimfokee hawakawii kujitia vitanzi.
Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
mchapeni huyo bakorah au nikutafutieni mkuu mmoja wapo wa wilaya aje kufanya kazi hapo?Huyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Haendeshi walemavu🤣🌹🤣🌹🤣mchapeni huyo bakorah au nikutafutieni mkuu mmoja wapo wa wilaya aje kufanya kazi hapo?
Akili kichwani bro!!!acha kukaza ubongo jiongeze siyo kila kitu lazima uoneHuyu ni mtoto wa ndugu yangu, anadai haikumbuki namba yake, ila ukweli ni kwamba anajaribu kuficha matokeo yake.
Natafta mchumba mkuuNi wa kike, tumfungulie banda la mama lishe au tumtafutie mume?