Nawezaje kupata mkopo wa Tsh. Milion 1 na laki 2 kwa dhamana ya vyeti vyangu?

Ukishindwa kulipa kuna mahali mkopeshaji anaweza kwenda kuviuza ili apate pesa yake? Na unasema hujakata tamaa kuhusu ajira; Kwa hiyo siku ukiitwa kwenye interview ambapo huwa wanataka uende na vyeti vyako halisi utavipataje ikiwa bado hujamaliza deni?
 
Hakuna pesa ya bure. Mtu asiyekufahamu atakusaidia kwa dhamana yako tu. Mimi sina dhamana yyte .chet n sehemu yakuonesha kuwa nitalipa den na sina nia mbaya yakukimbia sbb huwez poteza leseni. Vyet vyte sbb tu umekopa no. Pia kiuhalisia mm siko hvyo. N shda tu hz ss mtu anashndw kkuelewa anafnya kejel kwel ..
N jambo lakuelewa tu kuwa vyet s ktu nia ya huyu mtu n nn anashda gan? N.k
 
Nikiitwa kikaz kabla sijamalza den na vyet dhahir vnahtajka km swala lnaweza kuzungumzika kw mwajir ntamweleza km ataliafik km hakuna bas ....sbb lengo la mkopo pia sio kuchezea pesa nikujenga uchum bnafs. N hvyo tu Ndg yng
 
@Miss Zomboko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…