sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
N.B: NI KWAJILI YA MATUMIZI YA KUONGEZA ELIMU NA TAALUMA.
Si ajabu wengi wakiwemo hata viongozi wanadhani internet ni kwajili ya upuuzi tu maana wengi kwenye hutumia internet kufanya vitu visivyo na faida mfano kudiscuss umbea kwenye magrupu, kufanya umalaya, video za x, kuwa waraibu wa muvi, games, etc.
Kuna upande mwengine ambao ni muhimu sana ambao unahusisha kuongeza maarifa, taaluma, kipato, n.k.
Kuna mitandao kama udemy, cousera, skillshare, n.k hii inatoa kozi kwa mtindo mzuri sana, kuna kozi kama za kufanya masoko kwa njia za kisasa kwa kutumia internet ambazo hata vyuo vyetu havifundishi, kuns kozi za kutengeneza apps, kuna kozi za kuingiza vipato mitandaoni, kuna kozi za lugha, n.k, n.k, n.k. ndi youtube nayo iko poa ila mitandao niliyotaja hapo awali kozi zinatolewa kwa mtindo mzuri zaidi.
Ningekuwa Dar ningetumia cable za fiber za elf 70 kwa mwezi internet bia kikomo kwa spidi nzuri ila tatizo ni kwamba nipo Mbeya.
Je, tupunguze vipi gharama?
Si ajabu wengi wakiwemo hata viongozi wanadhani internet ni kwajili ya upuuzi tu maana wengi kwenye hutumia internet kufanya vitu visivyo na faida mfano kudiscuss umbea kwenye magrupu, kufanya umalaya, video za x, kuwa waraibu wa muvi, games, etc.
Kuna upande mwengine ambao ni muhimu sana ambao unahusisha kuongeza maarifa, taaluma, kipato, n.k.
Kuna mitandao kama udemy, cousera, skillshare, n.k hii inatoa kozi kwa mtindo mzuri sana, kuna kozi kama za kufanya masoko kwa njia za kisasa kwa kutumia internet ambazo hata vyuo vyetu havifundishi, kuns kozi za kutengeneza apps, kuna kozi za kuingiza vipato mitandaoni, kuna kozi za lugha, n.k, n.k, n.k. ndi youtube nayo iko poa ila mitandao niliyotaja hapo awali kozi zinatolewa kwa mtindo mzuri zaidi.
Ningekuwa Dar ningetumia cable za fiber za elf 70 kwa mwezi internet bia kikomo kwa spidi nzuri ila tatizo ni kwamba nipo Mbeya.
Je, tupunguze vipi gharama?