Nawezaje kupata walau GB 10 za internet kwa siku kwa bei nafuu?

Nawezaje kupata walau GB 10 za internet kwa siku kwa bei nafuu?

Mkuu usiwapangie watu maisha.Usidhani unavyotumia wewe internet ndiyo matumizi ya maana sana kuliko wanaocheza game, kuangalia movies etc.Dunia hii ni huru, kila mtu afanye yake (bila kuvunja sheria) cha msingi hakuna anayemuomba mwenzake pesa ya ugali.Tusidharauliane.
Mkuu dunia kuwa huru haigeuzi upuuzi uonekane ni jambo la maana.

Hata kama dunia ni huru lakini upuuzi wakutizama video za ngono utabaki kuwa upuuzi tu japokuwa una uhuru wa nafsi utizame au usitizame.

Hata kama dunia ni huru hiyo haifanyi ushoga usiwe upuuzi,ushoga utabaki kuwa upuuzi japokuwa una hiari ya kuwa ama usiwe mtu wa aina hiyo.

Na huyu bwana yupo huru katika hii dunia hivyo ana uhuru wa kuona upuuzi jambo ambalo wewe unaliona ni la maana saana.
 
N.B: NI KWAJILI YA MATUMIZI YA KUONGEZA ELIMU NA TAALUMA.

Si ajabu wengi wakiwemo hata viongozi wanadhani internet ni kwajili ya upuuzi tu maana wengi kwenye hutumia internet kufanya vitu visivyo na faida mfano kudiscuss umbea kwenye magrupu, kufanya umalaya, video za x, kuwa waraibu wa muvi, games, etc.

Kuna upande mwengine ambao ni muhimu sana ambao unahusisha kuongeza maarifa, taaluma, kipato, n.k.

Kuna mitandao kama udemy, cousera, skillshare, n.k hii inatoa kozi kwa mtindo mzuri sana, kuna kozi kama za kufanya masoko kwa njia za kisasa kwa kutumia internet ambazo hata vyuo vyetu havifundishi, kuns kozi za kutengeneza apps, kuna kozi za kuingiza vipato mitandaoni, kuna kozi za lugha, n.k, n.k, n.k. ndi youtube nayo iko poa ila mitandao niliyotaja hapo awali kozi zinatolewa kwa mtindo mzuri zaidi.

Ningekuwa Dar ningetumia cable za fiber za elf 70 kwa mwezi internet bia kikomo kwa spidi nzuri ila tatizo ni kwamba nipo Mbeya.


Je, tupunguze vipi gharama?
Njoo PM upewe utaalamu
 
Mkuu kwa 10 GBs unaweza kuipata Airtel kifurushi cha Night Packs.
Muda ni kuanzia saa 5 kamili usiku had 11 Asubuh.
Kiasi ni Tshs 1500/= tu.
Ni vema ukawa unashusha vitu then baadae unatulia kuviangalia.
Sijawah kuvibebanisha lakin nafikir inaweza ikakubali maana kwa usiku 10GBs ni saa mmoja au mawili zimeisha.

Angalizo:
Lazima uwe na App ya Airtel kukipata hiki kifurushi, kwa dials za kawaida huwezi kukipata.

All the best.
 
Mkuu kwa 10 GBs unaweza kuipata Airtel kifurushi cha Night Packs.
Muda ni kuanzia saa 5 kamili usiku had 11 Asubuh.
Kiasi ni Tshs 1500/= tu.
Ni vema ukawa unashusha vitu then baadae unatulia kuviangalia.
Sijawah kuvibebanisha lakin nafikir inaweza ikakubali maana kwa usiku 10GBs ni saa mmoja au mawili zimeisha.

Angalizo:
Lazima uwe na App ya Airtel kukipata hiki kifurushi, kwa dials za kawaida huwezi kukipata.

All the best.
Airtel wana kifurushi cha kupata GB15 dk 1150 kwa Tshs 20000 mwezi mzima
Nb: hizo dk ni mitandao yote
 
Ndo nachojiunga mimi msra nyingi kwa ajili ya kupata knowledges mbalimbali na video kadhaa huyo yutubu.

Ila MB zao zinaenda vibaya vibaya...
Chukua airtel GB15 dk1150 kwa 20000,
Mwezi mzima
 
Soma kichwa cha mada anataka 10GB/siku
15GB/mwezi itamlazimu atumie less 500mb labda kwa siku!

Labda ajiunge mara kadhaa
sasa nae hasemi anataka hizo gb10 kwa sh ngapi
 
Tatizo mleta mada ana porojo nyingi kaulizwa swali hili
Bei nafuu kwako ni sh. ngapi??
kajibu utumbo huu. Hapa alitakiwa ajibu bei nafuu kwake ni ipi ili wadau wamshauri kabaki kupigia promo zuku na kulalamika tu utadhani kuishi mbeya ni adhabu ya kukosa huduma za zuku
Inategemeana na waO litaloletwa, binafsi nina ndugu yupo dar yeye anawalipa zuku kama elf 70 kwa mwezi, internet anayopewa haina kikomo na anaweza kudownload gb ndani ya dakika 15 tu, ubaya ni kwamba hizi huduma zipo Dar maeneo ya mjini mjini tu, nipo mkoani huku Mbeya
 
Kwa menu ya kawaida kipo piga *149*99# kisha 5 kisha 3 kisha 6
Mkuu kwa 10 GBs unaweza kuipata Airtel kifurushi cha Night Packs.
Muda ni kuanzia saa 5 kamili usiku had 11 Asubuh.
Kiasi ni Tshs 1500/= tu.
Ni vema ukawa unashusha vitu then baadae unatulia kuviangalia.
Sijawah kuvibebanisha lakin nafikir inaweza ikakubali maana kwa usiku 10GBs ni saa mmoja au mawili zimeisha.

Angalizo:
Lazima uwe na App ya Airtel kukipata hiki kifurushi, kwa dials za kawaida huwezi kukipata.

All the best.
 
Kwa menu ya kawaida kipo piga *149*99# kisha 5 kisha 3 kisha 6
Screenshot_20210713-222605.jpg
 
Halotel rudisheni ile huduma ya ROYAL kama ilivyokuwa, sio hii Royal ya sasa!! Mmetuua sana
 
Back
Top Bottom