Nawezaje kupunguza Uzinzi , maana ndio chanzo cha kunirudisha nyuma

Nawezaje kupunguza Uzinzi , maana ndio chanzo cha kunirudisha nyuma

The ice breaker

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2023
Posts
880
Reaction score
1,985
Habari


Wakuu naombeni njia nyepesi ya Kupunguza Umalaya , kuacha nitakuwa muongo ..

Maana ni kitu ambacho nimegundua kinanirudisha nyuma sana kwenye maswala ya maendeleo yangu binasfi..

Napoteza pesa, muda na hata sometimes nahisi Kuna roho chafu nazipata nikiwa na deal na mbususu tofauti tofauti.

Kiufupi Uzinzi ndio changamoto kubwa inayo nifanye nishindwe ku progress mbele .

Sina mke , ila na watoto, naishi mwenyewe tu .

Naombeni msaada

NB: Kuoa sio mpango wangu.
 
Mwanaume anaeweza kuthibiti Mdomo wake na Nyege anakua salama sana kiuchumi na kiafya.
 
Una hela sana? Kama huna hela hutapata mwanamke wa kukupa shoo bure
 
Habari


Wakuu naombeni njia nyepesi ya Kupunguza Umalaya , kuacha nitakuwa muongo ..

Maana ni kitu ambacho nimegundua kinanirudisha nyuma sana kwenye maswala ya maendeleo yangu binasfi..

Napoteza pesa, muda na hata sometimes nahisi Kuna roho chafu nazipata nikiwa na deal na mbususu tofauti tofauti.

Kiufupi Uzinzi ndio changamoto kubwa inayo nifanye nishindwe ku progress mbele .

Sina mke , ila na watoto, naishi mwenyewe tu .

Naombeni msaada

NB: Kuoa sio mpango wangu.
Tubu na kuiamini Injili
 
uchumi mzuri wafaa nini bila mbususu
Hatumaanishi kukaa bila kufuck ila kuwe na kiasi,Chagua manzi mmoja wa saizi yako na kipato chako mkae sawa.uhudumie vitu vya msingi Au uoe.
Sio kila mtu unataka umlale tuu.
Uchi Upo tu kijana na utauacha

Hawa watu lazima wahudumiwe Ndio wameumbwa hivyo.hata kama ana mapesa mengii lazima ahudumiwe.

Samahani kwa lugha ngumu
 
FB_IMG_1736789597814.jpg
 
Habari


Wakuu naombeni njia nyepesi ya Kupunguza Umalaya , kuacha nitakuwa muongo ..

Maana ni kitu ambacho nimegundua kinanirudisha nyuma sana kwenye maswala ya maendeleo yangu binasfi..

Napoteza pesa, muda na hata sometimes nahisi Kuna roho chafu nazipata nikiwa na deal na mbususu tofauti tofauti.

Kiufupi Uzinzi ndio changamoto kubwa inayo nifanye nishindwe ku progress mbele .

Sina mke , ila na watoto, naishi mwenyewe tu .

Naombeni msaada

NB: Kuoa sio mpango wangu.
Haitakusaidia chochote kupunguza uzinzi. Wazinzi, hata wanaofanya uzinzi mara moja kila mwezi hawataurithi ufalme wa Mungu
Katika kitabu cha 1 Kor 6:9-10 SUV Biblia inasema:
Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang’anyi.

Ni kweli kwa nguvu zako huwezi kuacha uzinzi. Lakini kwa neema na nguvu za Yesu unaweza kuacha kabisa uzinzi na dhambi zote nyingine. Fuatisha sala hii ya toba kwa moyo wako wa dhati, utaona kiu ya uzinzi inakatika sasa hivi. Omba hivi:

"Ee Mungu mwenye rehema, ninakuja mbele zako nikiwa mnyenyekevu na mwenye majuto makubwa. Nakiri kuwa mimi ni mwenye dhambi na nimekosa mbele zako kwa mawazo yangu, maneno yangu, na matendo yangu.

Baba wa mbinguni, ninaomba msamaha kwa makosa yangu yote, yaliyo wazi na yale nisiyoyajua. Ninatubu kwa moyo wangu wote dhambi ya uzinzi na dhambi zote nyingine. Sitaki kuzitenda tena kuanzia leo. Naomba unisafishe kwa damu ya Yesu Kristo, Mwanao mpendwa, ili niwe safi mbele zako.

Ninaamini kuwa Yesu alikufa kwa ajili ya dhambi zangu na akafufuka kwa ushindi, ili mimi nipate uzima wa milele. Leo hii nampokea Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yangu. Ee Yesu ingia ndani ya moyo wangu, utawale maisha yangu kuanzia leo. Naomba unipe nguvu na neema ya kushinda dhambi zote kuanzia leo.

Asante, Mungu Baba, kwa upendo wako na neema yako. Asante kwa kunisamehe na kunipokea tena kuwa mwana wako. Asante kwa kunisikia na kuniokoa.

Katika jina la Yesu Kristo, ninaomba na kushukuru, Amina."

Kama umefuatisha sala hiyo kwa moyo wako wa dhati, tayari umeokoka. Dhambi ya uzinzi haitakutawala tena. Ili uendelee na wokovu, anza kuhudhuria katika kanisa lolote linalohubiri wokovu na kufundisha maisha ya utakatifu na kweli yote ya Neno la Mungu, upate mafundisho yatakayokusaidia kuishi maisha ya kumpendeza Mungu. Ubarikiwe sana.
 
NJOO KWA BWANA YESU UOKOLEWE. BWANA YESU ATAKUWEKA HURU.

hakuna arv za bure -usisahau
 
Back
Top Bottom