The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
- Thread starter
- #21
😂😂Kila mtu ana furushi lake linalomtesa...jitahidi walau furushi lako liwe linavuja ili tukamilishe ule msemo wa (kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mbebaji)🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Kila mtu ana furushi lake linalomtesa...jitahidi walau furushi lako liwe linavuja ili tukamilishe ule msemo wa (kuvuja kwa pakacha nafuu kwa mbebaji)🤣🤣
Makalio yakeUnamuaibisha sana The Icebreaker aisee
Si haba mkuuUna hela sana? Kama huna hela hutapata mwanamke wa kukupa shoo bure
NJOO kwenye makusanyiko yetu tuliookolewa, umpokee Yesu awe Bwana na Mwokozi wa maisha yako. uwe huru kwelikweli.Nakujaje?
Pitia njia hii ya Buguruni km unaelekea Ilala BomaNakujaje?
yani duniani mamanzi wote hawa nimchague yeye mmoja tu ili agundue nini? count me outHatumaanishi kukaa bila kufuck ila kuwe na kiasi,Chagua manzi mmoja wa saizi yako na kipato chako mkae sawa.uhudumie vitu vya msingi Au uoe.
Sio kila mtu unataka umlale tuu.
Uchi Upo tu kijana na utauacha
Hawa watu lazima wahudumiwe Ndio wameumbwa hivyo.hata kama ana mapesa mengii lazima ahudumiwe.
Samahani kwa lugha ngumu
Kuwa mchafu, usiwe na hela utakimbiwa mpaka na wale wa buku 3Habari
Wakuu naombeni njia nyepesi ya Kupunguza Umalaya , kuacha nitakuwa muongo ..
Maana ni kitu ambacho nimegundua kinanirudisha nyuma sana kwenye maswala ya maendeleo yangu binasfi..
Napoteza pesa, muda na hata sometimes nahisi Kuna roho chafu nazipata nikiwa na deal na mbususu tofauti tofauti.
Kiufupi Uzinzi ndio changamoto kubwa inayo nifanye nishindwe ku progress mbele .
Sina mke , ila na watoto, naishi mwenyewe tu .
Naombeni msaada
NB: Kuoa sio mpango wangu.
Kabisa kabisa,nilitaka nimtagUnamuaibisha sana The Icebreaker aisee
Ahahahah..hivi kuokoka kunapunguzaje zinaa. Maana tamaa ni suala na kibailojia zaidi. Ukila na kama ni mzima wa afya, lazima upandwe na nyege...ukiokoka inakusaidiaje?Jibu la kuacha uzizi na dhambi zingine ni kuokoka basi.
Oa.Habari
Wakuu naombeni njia nyepesi ya Kupunguza Umalaya , kuacha nitakuwa muongo ..
Maana ni kitu ambacho nimegundua kinanirudisha nyuma sana kwenye maswala ya maendeleo yangu binasfi..
Napoteza pesa, muda na hata sometimes nahisi Kuna roho chafu nazipata nikiwa na deal na mbususu tofauti tofauti.
Kiufupi Uzinzi ndio changamoto kubwa inayo nifanye nishindwe ku progress mbele .
Sina mke , ila na watoto, naishi mwenyewe tu .
Naombeni msaada
NB: Kuoa sio mpango wangu.
Umalaya wa kurithi ngumu sana kuuachaHabari
Wakuu naombeni njia nyepesi ya Kupunguza Umalaya , kuacha nitakuwa muongo ..
Maana ni kitu ambacho nimegundua kinanirudisha nyuma sana kwenye maswala ya maendeleo yangu binasfi..
Napoteza pesa, muda na hata sometimes nahisi Kuna roho chafu nazipata nikiwa na deal na mbususu tofauti tofauti.
Kiufupi Uzinzi ndio changamoto kubwa inayo nifanye nishindwe ku progress mbele .
Sina mke , ila na watoto, naishi mwenyewe tu .
Naombeni msaada
NB: Kuoa sio mpango wangu.
😂The only wayView attachment 3233152