Nawezaje kurudiana naye?

Nawezaje kurudiana naye?

Shikilia msimamo wako uleule wa awali...kama anakutaka afanye utaratibu muoane, anataka aamini nini wakati mtu mliwahi kupeana mimba
 
Simpendi… ana kisirani anasusasusa kiufupi mambo yake Kama yangu namaanisha tabia zangu na yeye anazo mtu wa hivyo nitaishi nae vipi
Duuh kumbe humpendi, kwa hiyo hapo wewe unataka nini?
 
AMKA NA HII NA IBEBE YOTE; Kulea mtoto mwenyewe si kazi ndogo, narudia, hakuna kazi ngumu kama kulea mtoto mwenyewe. Mimi nashauri watu nawasikiliza kila siku, acheni kudanganyika na hizi picha za mitandaoni ambapo mtu kapost picha ya mtoto wake mitandaoni anaonyesha kama ana furaha na maisha mazuri.

Wengi ukiona kapost mtoto, jua tu katoka kulia. Najua mnawaza, "si nina kazi yangu!" Dada, mtoto halelewi na kazi, yaani ukishazaa ndiyo utagundua kwamba hata kama mshahara wako ni milioni 10 kwa mwezi, bado unahitaji mtu wa kukuambia mtoto anaendeleaje, mbona anaonekana kama anaumwa, au tumpeleke hospitalini!

Ndipo utajua kwamba, mtoto akiamka usiku analia bila sababu unahitaji hata mtu wa kumuambia, "hembu mshike kidogo nimebanwa," unaingia chooni kuny*a nusu saa ana hisi unaumwa tumbo kumbe umemuachia ambeleze mtoto na ushashikwa na usingizi huko chooni. Narudia, kuwa single mother si kazi ndogo.

Yaani hata kama una hela, mwanaume asipotoa kidogo utaumia na kuumia. Hivyo mambo ya mtu kukuambia zaa kamoja, sijui umeshakuwa mkubwa, mambo ya mwanaume kukuambia beba mimba ili iwe rahisi mimi kuja kwenu kujitambulisha, dada huo ni upuuzi. Ukishabeba mimba na kuzaa, hakuna cha kutambulishana wala nini!

Naandika hiki kitu kwa huruma nikiwa nimechoka kwani kuna binti anasoma hii post, halafu ataenda kufanya mapenzi leo bila kinga wakati anajua kabisa kwamba mzunguko wake ni kama wa Konokono, haueleweki! Leo yuko kwenye siku zake, kesho zimeisha, kesho kutwa zimerudi! Ukishabeba mimba zamani nilikuwa sina cha kumwambia zaidi ya kusema pole!

Lakini sasa hivi ukishabeba mimba ukinitafuta nina kitabu cha "JINSI YA KUACHANA NA U-SINGLE MOTHER" ukija kunambia tu kuna mwanaume nina mimba yake hataki kunihudumia, nakuambia nunua kitabu. Dada, si kazi rahisi kulea, tumieni kinga, hao watu hawaoi!
Komenti bora kabisa ya kufungulia mwaka. Nafurahi kuona bado kuna wanawake wenye mitazamo chanya namna hii
 
Duuh hivi story yake imeishaje maana mi simuelewi huyu graduate!!!
 
Lightning never strikes the same place twice. Endelea na maisha yako.
 
AMKA NA HII NA IBEBE YOTE; Kulea mtoto mwenyewe si kazi ndogo, narudia, hakuna kazi ngumu kama kulea mtoto mwenyewe. Mimi nashauri watu nawasikiliza kila siku, acheni kudanganyika na hizi picha za mitandaoni ambapo mtu kapost picha ya mtoto wake mitandaoni anaonyesha kama ana furaha na maisha mazuri.

Wengi ukiona kapost mtoto, jua tu katoka kulia. Najua mnawaza, "si nina kazi yangu!" Dada, mtoto halelewi na kazi, yaani ukishazaa ndiyo utagundua kwamba hata kama mshahara wako ni milioni 10 kwa mwezi, bado unahitaji mtu wa kukuambia mtoto anaendeleaje, mbona anaonekana kama anaumwa, au tumpeleke hospitalini!

Ndipo utajua kwamba, mtoto akiamka usiku analia bila sababu unahitaji hata mtu wa kumuambia, "hembu mshike kidogo nimebanwa," unaingia chooni kuny*a nusu saa ana hisi unaumwa tumbo kumbe umemuachia ambeleze mtoto na ushashikwa na usingizi huko chooni. Narudia, kuwa single mother si kazi ndogo.

Yaani hata kama una hela, mwanaume asipotoa kidogo utaumia na kuumia. Hivyo mambo ya mtu kukuambia zaa kamoja, sijui umeshakuwa mkubwa, mambo ya mwanaume kukuambia beba mimba ili iwe rahisi mimi kuja kwenu kujitambulisha, dada huo ni upuuzi. Ukishabeba mimba na kuzaa, hakuna cha kutambulishana wala nini!

Naandika hiki kitu kwa huruma nikiwa nimechoka kwani kuna binti anasoma hii post, halafu ataenda kufanya mapenzi leo bila kinga wakati anajua kabisa kwamba mzunguko wake ni kama wa Konokono, haueleweki! Leo yuko kwenye siku zake, kesho zimeisha, kesho kutwa zimerudi! Ukishabeba mimba zamani nilikuwa sina cha kumwambia zaidi ya kusema pole!

Lakini sasa hivi ukishabeba mimba ukinitafuta nina kitabu cha "JINSI YA KUACHANA NA U-SINGLE MOTHER" ukija kunambia tu kuna mwanaume nina mimba yake hataki kunihudumia, nakuambia nunua kitabu. Dada, si kazi rahisi kulea, tumieni kinga, hao watu hawaoi!
Acha kucopy za Iddi Makengo...punda wewe
 
Huyo jamaa ni baka? Hapo hakuna muoaji sasa mkubalie akupe mimba azidi kukuharibia kabisaa..!! Mwambie muda wake ukifika uko jeshini wa kuoa ndo utamzalia ss hivi mwambie mle utawala
 
Mbona uamuzi na jibu umeshalitoa bi mkubwa?

Au huyo mjeda kashakuchimba biti la kukutoa uhai?
Anaposema wameachana miaka imepita hapo hapo anasema mara muda wa yeye kuruhusiwa kuoa haujafika.

Mwajiriwa yeyote hata iwe kwenye majeshi akishatimiza miaka miwili tu kazini anaruhusiwa kuoa ama kuolewa.

Sasa huyo wa miaka mingi kwanini asiruhusiwe kuoa?
 
Panga maisha yako vizuri,fanya maamuzi sahihi muda sahihi,pia tuliza sana akili,maisha hayaamuliwi na kigezo cha dini pekee that's why walioleta dini ndio walikuwa wa kwanza kujenga shule.
KAMA STORY YAKO NI KWELI BASI BADILI MFUMO WA MAISHA.
 
Aikooooh nabonge la ushauri kwako kama ungetumia I'd yako ya Depal we komwe unless otherwise natembea mwendo wa haraka kisengerenyuma 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Aikooooh nabonge la ushauri kwako kama ungetumia I'd yako ya Depal we komwe unless otherwise natembea mwendo wa haraka kisengerenyuma 🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaa we kiazi kisa umeona anaongelea uniform unadhani ni mm? We ni kima kweli 🤣🤣
Humu mm nije kuomba ushauri wakati yenu tu yanawashinda!! 😁😁
 
Hahaaa we kiazi kisa umeona anaongelea uniform unadhani ni mm? We ni kima kweli 🤣🤣
Humu mm nije kuomba ushauri wakati yenu tu yanawashinda!! 😁😁
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 endelea na dharau zako bolibo wewe
 
Amegundua wewe ndio mwanamke sahihi kwake ila kuna hayo mliyopitia pamoja huko nyuma.. Sasa mkishaingia kwenye ndoa na kuzoeana siku ukitokea ugomvi mdogo tu makaburi yote yatafukuliwa!
Makinika! Baki na msimamo wako! Usirudi nyuma! Uliyoyaona huko nyuma kwake na kwa ndugu zake yakupe fundisho lisilosahaulika
Eeeh
 
Back
Top Bottom