Ko uyo ni wewe??unaonekana mlevi kbsππKuna picha huwa zinazagaa mtandaoni na zinatumiwa Sana na vyombo vya habari bila kuziba privacy ya muhusika..mfano Ni picha iloyozagaa kwenye vyombo vya habari hasa kipindi hichi Cha sikukuu..picha hiyo inaonyesha mtu akipuliza kipimo Cha pombe kwenya habari iliyotolewa na jeshi la polisi kuhusu ulevi. Naomba kuelewa iwapo hujahusishwa kwenye matumizi ya picha hiyo unawezaje kudai fidia kwa watu kukuvunjia privacy yako.View attachment 1653849
Duh mkuu una sura mbaya, kama MekoKuna picha huwa zinazagaa mtandaoni na zinatumiwa Sana na vyombo vya habari bila kuziba privacy ya muhusika..mfano Ni picha iloyozagaa kwenye vyombo vya habari hasa kipindi hichi Cha sikukuu..picha hiyo inaonyesha mtu akipuliza kipimo Cha pombe kwenya habari iliyotolewa na jeshi la polisi kuhusu ulevi. Naomba kuelewa iwapo hujahusishwa kwenye matumizi ya picha hiyo unawezaje kudai fidia kwa watu kukuvunjia privacy yako.View attachment 1653849
Inategemea na maelezo ya hiyo picha, kama umedhalilishwa unaweza kushtakiKuna picha huwa zinazagaa mtandaoni na zinatumiwa Sana na vyombo vya habari bila kuziba privacy ya muhusika..mfano Ni picha iloyozagaa kwenye vyombo vya habari hasa kipindi hichi Cha sikukuu..picha hiyo inaonyesha mtu akipuliza kipimo Cha pombe kwenya habari iliyotolewa na jeshi la polisi kuhusu ulevi. Naomba kuelewa iwapo hujahusishwa kwenye matumizi ya picha hiyo unawezaje kudai fidia kwa watu kukuvunjia privacy yako.View attachment 1653849
Ko uyo ni wewe??unaonekana mlevi kbsππ
ππππYaan wewe tayari ni kipimo? Nimecheka sana πππ
Kama ingekua ni picha private unaweza kushtaki, iyo picha yako ni ya 'public interest 'Kuonyeshwa bila ridhaa hutakiwi KUSHITAKI?
Hicho kinapima mpaka ngono kabisa kama umefanya kinaonyesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nje ya mada;
Hivi hicho kipimo kinapima mpaka stim za marryjane?