Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Njoo serious nikupe dawa. Utachagua mwenyewe mtalimbo uutakao. Ni dawa ya kienyeji Haina madhara yoyoteKuna kijana umri ni 35, anajiweza ana kazi nzuri tuna unasaba nae, leo kaniambia kuwa ana uume mdogo, kiasi anapata hofu kujamiiana na mwanamke.
Sasa kaniomba ushauri kama kuna dokta ambae anaweza kumsaidia ili uume uwe mrefu,sasa mie sina kabisa uulewa juu ya mambo haya, kama kuna mtu ana ujuzi wa mambo haya, basi aniarifu