Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

Nawezaje kuwa Kijana Mwenye Mvuto?

Rangi-mweusi kabisa
Urefu -167 CM (5.6 Ft)
Uzito - 80Kg

Nywele ni nyingi za kawaida tu ila zinakua kwa kasi (nanyoa kila baada ya wiki mbili)

Ndevu ni zile za O (kuzunguka mdomo)

Hapo mkuu naamini umepata picha
Punguza uzito kidogo..... Otherwise tafuta nguo zinazoendana na wewe.

Ukiwa kitaa piga jeans zisizopwaya sana wala zisikubane, piga shots, vaa t shirt zisizo na kola.... Kwa kuwa ni mweusi epuka nguo za kung'aa sana na nyeusi tupu. Pendelea kuvaa saa nzuri na viatu simple tu (macho ya wengi huwa kwenye saa na viatu)....

Kama kazini piga surual za kawaida kadeti, vitambaa vya kawaida ila si vyepesi sana, usipiga pasi ukaweka upanga (old style). Weka kiatu standard tu ila kisipauke wala kuchakaa kuwa na pair hata 3. Vaa mashati yanayoendana na mwili wako yasikupwaye. Yasikubane sana kitambi kikaonekaba. Kama unachomekea epuka kuvaa tai mara kwa mara. Kama unachomolea angalia shati lisiwe refu sana lisizidi eneo la uune wako mpaka chini.

If your face sio ile nzuri sana nakushauri ondoa hiyo "O" sometime inaleta uzushi flani baki na low cut mustache na mzuzu wa kiasi..... Ukiongea usifungue mdomo kama una hutubia.... Safisha macho yangu yawe angavu.

Mwendo: Jitahidi kutembea as a teacher, mwondoko wa heshma na uwe stable sio unatembea kama umetoka kuvua kware mikono unarusha rusha. Do you know kun manager walk?

Kuangalia watu: kama unaongea na mtu epuka kumkazia macho sana kama unamdai tend to roll you eyes sehemu nyingine. Usiweke stick mdomoni kwako wakati wa maongezi.

Kaa kwenye kiti: usijbinue kama una ugonjwa wa bawasiri, be straight chapa hata nne za kiume.

Handshaking: ukisalimiana na mtu mpe mkono wako full, shake then utoe usikae sana akabororeka....

Kuwa na vitu vidogo vidogo hengachif, saa, cheni ndogo....

Kunyoa: achana na maviduku, ukinyoa low cut angalia usichongwe kama mnajenga msingi....

Use the right cosmetics: usitumie mavipodozi ya kukuchubua. Tumia vya kiume.

Ukiongea: Usiwe mpayukaji control your voice, angalia usirushe mate, cultivate ur smile all the time. Agree to disagree usiwe mbishi kama muha au msukuma.

Practise your walk.... Usidundike kihuni.

All in all find the good company.... Na kama wewe sio mlevi usiwe na kampani ya walevi....

Time will heal..... Good lucky champ...
 
Punguza uzito kidogo..... Otherwise tafuta nguo zinazoendana na wewe.

Ukiwa kitaa piga jeans zisizopwaya sana wala zisikubane, piga shots, vaa t shirt zisizo na kola.... Kwa kuwa ni mweusi epuka nguo za kung'aa sana na nyeusi tupu. Pendelea kuvaa saa nzuri na viatu simple tu (macho ya wengi huwa kwenye saa na viatu)....

Kama kazini piga surual za kawaida kadeti, vitambaa vya kawaida ila si vyepesi sana, usipiga pasi ukaweka upanga (old style). Weka kiatu standard tu ila kisipauke wala kuchakaa kuwa na pair hata 3. Vaa mashati yanayoendana na mwili wako yasikupwaye. Yasikubane sana kitambi kikaonekaba. Kama unachomekea epuka kuvaa tai mara kwa mara. Kama unachomolea angalia shati lisiwe refu sana lisizidi eneo la uune wako mpaka chini.

If your face sio ile nzuri sana nakushauri ondoa hiyo "O" sometime inaleta uzushi flani baki na low cut mustache na mzuzu wa kiasi..... Ukiongea usifungue mdomo kama una hutubia.... Safisha macho yangu yawe angavu.

Mwendo: Jitahidi kutembea as a teacher, mwondoko wa heshma na uwe stable sio unatembea kama umetoka kuvua kware mikono unarusha rusha. Do you know kun manager walk?

Kuangalia watu: kama unaongea na mtu epuka kumkazia macho sana kama unamdai tend to roll you eyes sehemu nyingine. Usiweke stick mdomoni kwako wakati wa maongezi.

Kaa kwenye kiti: usijbinue kama una ugonjwa wa bawasiri, be straight chapa hata nne za kiume.

Handshaking: ukisalimiana na mtu mpe mkono wako full, shake then utoe usikae sana akabororeka....

Kuwa na vitu vidogo vidogo hengachif, saa, cheni ndogo....

Kunyoa: achana na maviduku, ukinyoa low cut angalia usichongwe kama mnajenga msingi....

Use the right cosmetics: usitumie mavipodozi ya kukuchubua. Tumia vya kiume.

Ukiongea: Usiwe mpayukaji control your voice, angalia usirushe mate, cultivate ur smile all the time. Agree to disagree usiwe mbishi kama muha au msukuma.

Practise your walk.... Usidundike kihuni.

All in all find the good company.... Na kama wewe sio mlevi usiwe na kampani ya walevi....

Time will hill..... Good lucky champ...
Hivi unaweza kuongea huku umefumba mdomo?
 
Hatimae mwanaume wa mkoani kaingia Dar

Watu wa dar most of them mkifika dubai huwa mnashangaa shangaa maghorofa, magari, barabara na mataa sio 🤣🤣while dar vitu hivyo hamunavyo, sana sana utakutana na mwendo kasi za kizamani mimtu mingine unakutananayo inanuka vikwapa🤣🤣
 
Punguza uzito kidogo..... Otherwise tafuta nguo zinazoendana na wewe.

Ukiwa kitaa piga jeans zisizopwaya sana wala zisikubane, piga shots, vaa t shirt zisizo na kola.... Kwa kuwa ni mweusi epuka nguo za kung'aa sana na nyeusi tupu. Pendelea kuvaa saa nzuri na viatu simple tu (macho ya wengi huwa kwenye saa na viatu)....

Kama kazini piga surual za kawaida kadeti, vitambaa vya kawaida ila si vyepesi sana, usipiga pasi ukaweka upanga (old style). Weka kiatu standard tu ila kisipauke wala kuchakaa kuwa na pair hata 3. Vaa mashati yanayoendana na mwili wako yasikupwaye. Yasikubane sana kitambi kikaonekaba. Kama unachomekea epuka kuvaa tai mara kwa mara. Kama unachomolea angalia shati lisiwe refu sana lisizidi eneo la uune wako mpaka chini.

If your face sio ile nzuri sana nakushauri ondoa hiyo "O" sometime inaleta uzushi flani baki na low cut mustache na mzuzu wa kiasi..... Ukiongea usifungue mdomo kama una hutubia.... Safisha macho yangu yawe angavu.

Mwendo: Jitahidi kutembea as a teacher, mwondoko wa heshma na uwe stable sio unatembea kama umetoka kuvua kware mikono unarusha rusha. Do you know kun manager walk?

Kuangalia watu: kama unaongea na mtu epuka kumkazia macho sana kama unamdai tend to roll you eyes sehemu nyingine. Usiweke stick mdomoni kwako wakati wa maongezi.

Kaa kwenye kiti: usijbinue kama una ugonjwa wa bawasiri, be straight chapa hata nne za kiume.

Handshaking: ukisalimiana na mtu mpe mkono wako full, shake then utoe usikae sana akabororeka....

Kuwa na vitu vidogo vidogo hengachif, saa, cheni ndogo....

Kunyoa: achana na maviduku, ukinyoa low cut angalia usichongwe kama mnajenga msingi....

Use the right cosmetics: usitumie mavipodozi ya kukuchubua. Tumia vya kiume.

Ukiongea: Usiwe mpayukaji control your voice, angalia usirushe mate, cultivate ur smile all the time. Agree to disagree usiwe mbishi kama muha au msukuma.

Practise your walk.... Usidundike kihuni.

All in all find the good company.... Na kama wewe sio mlevi usiwe na kampani ya walevi....

Time will hill..... Good lucky champ...
Appreciated!,

Nashukuru sana mkuu. Will try out ninachoweza kufanya.


Inawezekana watu wamenielewa tofauti, niliposema "mvuto" nilimaanisha kuondoka kile kiushamba flani hivi...but all the same umesaidia.
 
Appreciated!,

Nashukuru sana mkuu. Will try out ninachoweza kufanya.


Inawezekana watu wamenielewa tofauti, niliposema "mvuto" nilimaanisha kuondoka kile kiushamba flani hivi...but all the same umesaidia.
Yah sure kuna ile ukikulia mazingira flani ukihamia mapya unajikuta wa tofauti kiasi. Kuanzia kuongea, kusimama, kutembea, kuimba, jinsi ya kucheza, jinsi ya kuvaa, mambo unayopendelea..... Yani watu wanasema yule mlugha lugha.... So u need to adopt slowly.....

Do'nt be shy to yourself just practise hata ukiwa pekeyako.....

Practise:

[emoji117]Your walk
[emoji117]Your dress code
[emoji117]How you look at people.
[emoji117]How to approach people in gently way.
[emoji117]How to handshake...
[emoji117]Accessories (saa,cheni,pafyumu) jitahidi zisiwe midosho sana.
[emoji117]Ofcourse how you dance if you're music lover..,

Trust me utabadilika taratibu na kuendana na wengine in your own way....

Time heal man....
 
Punguza uzito kidogo..... Otherwise tafuta nguo zinazoendana na wewe.

Ukiwa kitaa piga jeans zisizopwaya sana wala zisikubane, piga shots, vaa t shirt zisizo na kola.... Kwa kuwa ni mweusi epuka nguo za kung'aa sana na nyeusi tupu. Pendelea kuvaa saa nzuri na viatu simple tu (macho ya wengi huwa kwenye saa na viatu)....

Kama kazini piga surual za kawaida kadeti, vitambaa vya kawaida ila si vyepesi sana, usipiga pasi ukaweka upanga (old style). Weka kiatu standard tu ila kisipauke wala kuchakaa kuwa na pair hata 3. Vaa mashati yanayoendana na mwili wako yasikupwaye. Yasikubane sana kitambi kikaonekaba. Kama unachomekea epuka kuvaa tai mara kwa mara. Kama unachomolea angalia shati lisiwe refu sana lisizidi eneo la uune wako mpaka chini.

If your face sio ile nzuri sana nakushauri ondoa hiyo "O" sometime inaleta uzushi flani baki na low cut mustache na mzuzu wa kiasi..... Ukiongea usifungue mdomo kama una hutubia.... Safisha macho yangu yawe angavu.

Mwendo: Jitahidi kutembea as a teacher, mwondoko wa heshma na uwe stable sio unatembea kama umetoka kuvua kware mikono unarusha rusha. Do you know kun manager walk?

Kuangalia watu: kama unaongea na mtu epuka kumkazia macho sana kama unamdai tend to roll you eyes sehemu nyingine. Usiweke stick mdomoni kwako wakati wa maongezi.

Kaa kwenye kiti: usijbinue kama una ugonjwa wa bawasiri, be straight chapa hata nne za kiume.

Handshaking: ukisalimiana na mtu mpe mkono wako full, shake then utoe usikae sana akabororeka....

Kuwa na vitu vidogo vidogo hengachif, saa, cheni ndogo....

Kunyoa: achana na maviduku, ukinyoa low cut angalia usichongwe kama mnajenga msingi....

Use the right cosmetics: usitumie mavipodozi ya kukuchubua. Tumia vya kiume.

Ukiongea: Usiwe mpayukaji control your voice, angalia usirushe mate, cultivate ur smile all the time. Agree to disagree usiwe mbishi kama muha au msukuma.

Practise your walk.... Usidundike kihuni.

All in all find the good company.... Na kama wewe sio mlevi usiwe na kampani ya walevi....

Time will hill..... Good lucky champ...
Point iko hapa
 
Back
Top Bottom