Sidi J
Member
- Mar 13, 2017
- 45
- 49
Habari wadau,
Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimezaliwa kijijini na kukulia huko. Mjini wa mara ya kwanza nilikuja kwaajili ya masomo.
Pamoja na kwamba kazi yangu inanilazimu kuvaa kistaarabu, bado nahisi sijafikia vile viwango ya kuwa "gentleman" na natamani sana kutupia pamba kama baadhi ya vijana huko mtaani.
Naombeni ushauri wenu wa vitu kama; aina za mavazi (suruali, shirt, viatu, Tshirt nk), marashi na deodorant...pamoja na pigo zingine zenye mwelekeo.
Na hapa mjini Dar ninapata wapi hivi vitu (najua maduka lakini nataka vitu classic, siyo hizi zangu za Karume).
Shukrani
Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimezaliwa kijijini na kukulia huko. Mjini wa mara ya kwanza nilikuja kwaajili ya masomo.
Pamoja na kwamba kazi yangu inanilazimu kuvaa kistaarabu, bado nahisi sijafikia vile viwango ya kuwa "gentleman" na natamani sana kutupia pamba kama baadhi ya vijana huko mtaani.
Naombeni ushauri wenu wa vitu kama; aina za mavazi (suruali, shirt, viatu, Tshirt nk), marashi na deodorant...pamoja na pigo zingine zenye mwelekeo.
Na hapa mjini Dar ninapata wapi hivi vitu (najua maduka lakini nataka vitu classic, siyo hizi zangu za Karume).
Shukrani