Nawezaje kuwa Kitengo?

Nawezaje kuwa Kitengo?

Kazi hizo hazitafutwi ila zinatafuta zenyewe. Ukiona unatafuta ujue huhitajiki[emoji1787][emoji23]
Sasa unafikir zinakupataje kama haupo kwenye mazingira ya kupatikana..

Humu jf ni mazingira moja wapo ya kupatikana,

Jichanganye kwenye jamaii

Sasa wewe lala geto unashinda kupiga puchu , alafu zikufwate
 
Hapa umeamaliza kila kitu , na huenda asiukubali huu ukweli ila itabidi tu hamna namna.
Kazi hizo hazitafutwi ila zinatafuta zenyewe. Ukiona unatafuta ujue huhitajiki🤣😂
 
Kama umeshindwa kubuni ID yako badala yake uka copy yangu na kubadili kidogo tu,huna utakalo liweza,utaendelea kuota ndoto hapo kwa Bi mkubwa huku ukisubiri ugali wa shikamoo.
 
Kama umeshindwa kubuni ID yako badala yake uka copy yangu na kubadili kidogo tu,huna utakalo liweza,utaendelea kuota ndoto hapo kwa Bi mkubwa huku ukisubiri ugali wa shikamoo.
Hahaha nimeshindwa kubadilisha , nisaidie Basi ?

Mimi mwenyewe sitapendi ID zifanane,

Na by that time na create hii, sikuwaza kama Kuna mtu anaitwa Mvunja barafu humu
 
Sijui wa huko ila duniani nchi nyingi hawa secret service wengine wanatoka Navy na wengine jeshini
Ila pia kama ni ajira ya kuomba interview yake ni balaa ila kwa Africa labda kuna kubebana pia ila utahojiwa sana
 
Ni uzalendo tu mkuu.
Ni "uzalendo"?

Maana sisi wananchi wengine milioni 60 tunaofanya kazi kubwa ya ujenzi wa taifa mpaka hayo maofisi ya serikali yanapata magari ya fahari sio "wazalendo" na ni wapumbavu hatuna maana nyie ndio "wazalendo"?

Hii jeuri viwafanyakazi vya serikali vinakuaga nayo ni so depressing to hear.

FVCK Y'ALL!
 
Back
Top Bottom