Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Umri inaweza kuwa kikwazo.Lkn usikate tamaa,omba Mungu atakusaidia kufikia ndoto zako.Mimi nilipitia jkt mujibu wa sheria
Pia niliwahi kuwa Suma jkt
Ila umri ni 28
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri inaweza kuwa kikwazo.Lkn usikate tamaa,omba Mungu atakusaidia kufikia ndoto zako.Mimi nilipitia jkt mujibu wa sheria
Pia niliwahi kuwa Suma jkt
Ila umri ni 28
Upo mkoa Gani, shughuli yako kwa sasa na elimu yako?Ndio maana nimekuja kuuliza humu jf .
Naamini humu jf, Kuna kila aina ya watu, Naamini sana jamii ya watu
Bonjuor
Wakuu Sina mengi ya kuuliza ila unaweza ku connect heading na picha,
Nawezaje kuwa miongoni mwao.
View attachment 2628443View attachment 2628444
Uzalendo na kutunza Siri za nchiUna nini cha kulifanyia taifa kako ambacho unaamini kitawezekana tu ukiwa kitengoni?.
Physically fit, tall enoughUna muonekano gani
Nipo darUpo mkoa Gani, shughuli yako kwa sasa na elimu yako?
Umri siwazi sana . Kuna wanangu wapo huko, waliingia wakubwa kuliko mm.Umri inaweza kuwa kikwazo.Lkn usikate tamaa,omba Mungu atakusaidia kufikia ndoto zako.
Kazi hizo hazitafutwi ila zinatafuta zenyewe. Ukiona unatafuta ujue huhitajiki🤣😂Bonjuor
Wakuu Sina mengi ya kuuliza ila unaweza ku connect heading na picha,
Nawezaje kuwa miongoni mwao.
View attachment 2628443View attachment 2628444
Sasa unafikir zinakupataje kama haupo kwenye mazingira ya kupatikana..Kazi hizo hazitafutwi ila zinatafuta zenyewe. Ukiona unatafuta ujue huhitajiki[emoji1787][emoji23]
Kazi hizo hazitafutwi ila zinatafuta zenyewe. Ukiona unatafuta ujue huhitajiki🤣😂
Hata sasa huu ni wajibu wako.Uzalendo na kutunza Siri za nchi
Hahaha nimeshindwa kubadilisha , nisaidie Basi ?Kama umeshindwa kubuni ID yako badala yake uka copy yangu na kubadili kidogo tu,huna utakalo liweza,utaendelea kuota ndoto hapo kwa Bi mkubwa huku ukisubiri ugali wa shikamoo.
Fvck the government!Bonjuor
Wakuu Sina mengi ya kuuliza ila unaweza ku connect heading na picha,
Nawezaje kuwa miongoni mwao.
View attachment 2628443View attachment 2628444
Kama umeshindwa kubuni ID yako badala yake uka copy yangu na kubadili kidogo tu,huna utakalo liweza,utaendelea kuota ndoto hapo kwa Bi mkubwa huku ukisubiri ugali wa shikamoo.
Nifuate pm tafadhaliBonjuor
Wakuu Sina mengi ya kuuliza ila unaweza ku connect heading na picha,
Nawezaje kuwa miongoni mwao.
View attachment 2628443View attachment 2628444
Ni "uzalendo"?Ni uzalendo tu mkuu.