Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nunua kadi za ccm na anza mara moja kumsifu sifu Rais.Nahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
Mdude Nyagali amepata uzoba akiwa mwanachama wa UVCCM...Mkuu kwanza jitoe ufahamu uwe kama zobi, halafu chagua kiongozi yeyote uwe chawa wake, hapo utakuwa na viegezo vyote vya kujiunga.
Unataka kuingia kwenye laana ya uonevu na wizi inayofanywa na hawa watu?Nahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
SUA ? Ngoja nikutafute mapema maana wanasema samaki mkunje angalia mbichi ndiyo nyie mnakuja kuwa wasiojulikana wacha nikuwahibmapema kuepusha shida nchini hapo badayesio kwamba Sina Cha kufanya ninacho na nasoma pale SUA ila nahitaji tu kuwa mmoja wa uvccm mwanacham
Unasoma chuo kikiuu alafu hujui wapi utajiunga na chama.hiyo elimu yako ni bure.sio kwamba Sina Cha kufanya ninacho na nasoma pale SUA ila nahitaji tu kuwa mmoja wa uvccm mwanacham
Hapana usimmisslead mwenzio mwisho ni 40
Kuwa lichawa la mama na mbunge wakoNahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
ahahahahKuwa lichawa la mama na mbunge wako
asante sanaHapana usimmisslead mwenzio mwisho ni 40
Kuanzia miaka 17 mpaka 40 ndio umri View attachment 3079793sahihi wa kuwa mwanachama wa UVCCM
niliona sio umri sahihi kabla now naweza jihusisha na hayo mambo coz sipo level ya chini tena inayoninyima mda but wewe upo level Gani ya elimu professor kwanza haujui ndio mana makasiriko ungejua ungejibu sabab Hilo sio jibu elewa swali.Unasoma chuo kikiuu alafu hujui wapi utajiunga na chama.hiyo elimu yako ni bure.
ubarikiwe mwaya ila inaonekana ndio zako mawazo kama hayo hayajagi hivihiviKadada kanataka akawapee walezi wa CCM nyapuu, nayee apewe teuzii.
Pambania fursaa mwayaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ahahahahhaNunua kadi za ccm na anza mara moja kumsifu sifu Rais.
hujaeleweoa Mzee naenda mnyooko acha LUGHA ya konakonaSUA ? Ngoja nikutafute mapema maana wanasema samaki mkunje angalia mbichi ndiyo nyie mnakuja kuwa wasiojulikana wacha nikuwahibmapema kuepusha shida nchini hapo badaye
IPO hivyo ila sio wote hata yuda alikuwa mwanafunzi wa yesu sio Kila mwanafunzi alikuwa mwiziUnataka kuingia kwenye laana ya uonevu na wizi inayofanywa na hawa watu?
labda girlfriend wako sio Mimi watanila online au ulisikia wapi nimempa mtu namba humu jisake chaliiWewe utakuwa mboga ya wanaume Malaya wa jf.... Mpk unasoma chuo hujui mchakato wakuwa mwanachama hai wa uvccm?. SUA mbona Kuna tawi la uvccm alooh!. Hiyo mbumbusi yako itawakaa moto..