Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Nenda katika tawilolote lililo karibu yako, na kama upo chuo nenda kwa viongozi wa chama chuoni kwakoNahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
Ukishindwa kabisaaaa, ukipiga misele yako ukikuta mahali imening'inizwa bendera ya CCM au shina uliza utapewa utaratibu