Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 3,230
- 6,742
Nenda katika tawilolote lililo karibu yako, na kama upo chuo nenda kwa viongozi wa chama chuoni kwakoNahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
Inua makalio!Nahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
labda girlfriend wako sio Mimi watanila online au ulisikia wapi nimempa mtu namba humu jisake chalii hujui Kash Kash za SUA first year wewe course kumi na moja Kila semester,second year na third ratiba Huwa aibani kdg kulingana na vipindi na ndio mana nataka nijue in details now
ahahaha sio kiongozi nimesema nataka kuwa mwanachama hata nisipo julikana ila mwanachamaMkuu kwanza jitoe ufahamu uwe kama zobi, halafu chagua kiongozi yeyote uwe chawa wake, hapo utakuwa na viegezo vyote vya kujiunga.
Muone huyuNahitaji kuwa mwanachama hai wa UVCCM kuhudhuria mikutano na chaguzi mbalimbali zinazoendelea za UVCCM, Je nawezaje kujiunga mahali nilipo?
ahahaha makasiriko wajinga wapo libyaNi mjinga pekee anayeweza kujiunga na lichama la wauwaji wa watu Karakana ya chang'ombe.
na kweli wamekereketwa ahahahaNgoja wakereketwa waje
asante kaka Kwa ushauriNenda katika tawilolote lililo karibu yako, na kama upo chuo nenda kwa viongozi wa chama chuoni kwako
Ukishindwa kabisaaaa, ukipiga misele yako ukikuta mahali imening'inizwa bendera ya CCM au shina uliza utapewa utaratibu
kama unavyoinuliwa wewe Cha kwakoInua makalio!
ccm tushawajua tabia zao sabab washaonja keki ya nchi Kwa nyadhifa kubwa ya uchama tawala ila huko kwingine naogopa sabab hawajaikamata bado keki ya nchi na pia nachoogopa Zaidi wanasalitiana wao Kwa wao na wengine kuwasalitinhadi kufikia kuwa machawa wa chama tawala na kupewa nyazfa ndani ya chama tawala Bora nijiunge na hwa tabia Yao iliojulikana Bora niwe humo humo kama mwanachama tu inatoshaJiunge na CHADEMA ili upate muda mwingi wa kukaa na watu smart
Ccm utaua dreams zako mapema