Nawezaje kuwa na furaha na amani ya roho?

Niliangalia Sana movie za Kikorea..Sana Sana Sana....Ila sasahivi nimeloose interest.
Asante Sana mydear
 
Amani ya kweli ipo katika kujenga mahusiano yako na Mungu. Hakuna mbadala
 
Kosea sehemu kosea kitu akili ishtuke ...au hiyo!! RAM huko kichwani imestuck yani unajua haya maisha ukijikuta unaishi maisha yale ya quote of the Day inspiration clip za hamasa sometimes unaweza kujikuta unaghafilikiwa ghafla japo sio kila mara ni sometimes hakuna mziki hakuna maisha tuishi humo.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Pole sana hii inawaathiri wanawake wengi ambao hawakojozwi kitandani ila ukimpata dume akawa anakukojoza kila mara furaha yako itarudi.
 
Ok
 
Mkuu
Pole Pole Sana Kwa Hali Unayoipitia Lakini Njia Nzuri Zipo Kupitia Thread Yako!! Sasa Umetufumba Kiasi Kwanini Unahisi Hali Hiyo Inatokea


Samahani Lakini, Nilikuwa Naulizia Vp Maendeleo Ya Afya Mwili Umeupunguza. Lile Suala La Matumizi Ya Shanga
😀😁😂😄😄😐😐😀😁😂😂🤣😅😄😐😐
Nimengoja Mrejesho Kwa Muda Nimeona Nikuulize Humo Humo!!
 
My dear pole sana, I was passing through that hell ov a situation, ila Namshukuru Mungu that nothing last forever, kila kitu kitakuwa sawa, Usijali jipe moyo mkuu...!

Pitia hapo chini naamini utajifunza jambo..!


CreditAnalyst
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]....Mkuuu imenichekesha Sana.
 
Pole sana hii inawaathiri wanawake wengi ambao hawakojozwi kitandani,ila ukimpata dume akawa anakukojoza kila mara firaha yako itarud
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...Furaha Yangu nikiiunganisha na kitu au mtu...siku.kikikosekana Nini kitatokea
 
Hapana...Mimi sijafunguwa utotoni nimecheza Sana Sana Sana Sana... natatizo langu Sio upweke...Ni MATATIZO tu ya Dunia yananikosesha Raha.
 
Mwanangu tambua DUNIA ya leo ndivyo ILIVYO

Achana na kuwaza kufarijiwa

Mapenz ??
HUU NI ukoma KAMATA DEMU CHUKUA MUWEKEE MWAAAA

CHA MSINGI TAFUTA PESA USIPALE KOMAA HASWAAA

JICHANGANYE KJN

PIGA MISHE YEYOTE

MIE BINAFSI WANAWAKE SIJI KUWAAMINI TENA

ZAMA NA MABAHARIA SEHEMU YEYOTE KUWA HATA FUND ANZA NA SAIDIA USIJIFUNGE

WANAWAKE HAWANA UTAMU UTAMU TUNAO SISI KULE TWAFWATA UTELEZI TUU

UKIPATA 50 KAMATA MZUR,UKIPATA BUKU TANO PIGA SHOW TIME,UKIPATA JERO NUNUA HISPO PIGA NYETO

CHA MSINGI SAKA PESA
 
Basi nishakuelewa kiundani tatizo lako njoo inbox nitakusaidia kitu.
Yote hayo nimepitia na mimi.
I am serious!
Hapana...Mimi sijafunguwa utotoni nimecheza Sana Sana Sana Sana... natatizo langu Sio upweke...Ni MATATIZO tunya Dunia yananikosesha Raha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…