sawa ntakwambiaa...., me nimesubmits request zangu last week
usijali. nakushauri nawe utembelee tawi lililo karibu ili walau upewe lile karatasi lenye requirements zote.nakutegemea mkuu
usijali. nakushauri nawe utembelee tawi lililo karibu ili walau upewe lile karatasi lenye requirements zote.
usijali. nakushauri nawe utembelee tawi lililo karibu ili walau upewe lile karatasi lenye requirements zote.
hapo ni pagumu, kwa sababu watataka picha yake na kitambulisho chake, yani itakuwa kama vile yeye ndo afuatilia kwa ajili yako, kumbuka atafungua na account ya kuweka pesa. sasa hizo details zote kutumia za mtu naona haitakuwa poa.sorry hivi unaweza kutumia lessen ya mtu unaemwamin
hapo ni pagumu, kwa sababu watataka picha yake na kitambulisho chake, yani itakuwa kama vile yeye ndo afuatilia kwa ajili yako, kumbuka atafungua na account ya kuweka pesa. sasa hizo details zote kutumia za mtu naona haitakuwa poa.
Faida ya hii kitu ikoje