Nawezaje kuwa Wakala wa benki. Mfano NMB na CRDB

Nawezaje kuwa Wakala wa benki. Mfano NMB na CRDB

sorry hivi unaweza kutumia lessen ya mtu unaemwamin
hapo ni pagumu, kwa sababu watataka picha yake na kitambulisho chake, yani itakuwa kama vile yeye ndo afuatilia kwa ajili yako, kumbuka atafungua na account ya kuweka pesa. sasa hizo details zote kutumia za mtu naona haitakuwa poa.
 
shukran mkuu
hapo ni pagumu, kwa sababu watataka picha yake na kitambulisho chake, yani itakuwa kama vile yeye ndo afuatilia kwa ajili yako, kumbuka atafungua na account ya kuweka pesa. sasa hizo details zote kutumia za mtu naona haitakuwa poa.
 
Back
Top Bottom