ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kama ....ume-note vizuri Bashite amekuwa ni kiumbe mwoga sana siku hizi .....any further misconduct will eat him alive....he knows that..Bashite kama anaweza kuvamia clouds tv na bunduki na kumtuma mtu amtishe Nape kwa bastola unadhani ni kipi cha kikatili kitamshinda?
unamkumbuka Dr.Ulimboka? walipomteka walichukua nini? Ben saanane je?Kumbe nini cha kumfanya atafutwe hata kuuawa? Hivi kanisa kashajenga? Nilisahau.
acha kujitia upofu ndugu, kisa havai kijani ndio unamuona kawaida, muulize hata mtoto mdogo kijijini huko jina la ney kama halifahamuAna ukubwa gani ney??
unajua kuna watu kazi yao ni kutetea hata vitu visivoeleweka,Let's be real guys!! Take this matter seriously!! This ain't a joke or kiki Nay mbona jina lake ni kiki ya kutosha!! Yanayoendelea nyuma ya pazia yanatisha!!!
Mafia ni watu wenye kutumia akili sana katika kufanikisha mambo yao hata kuua bila kutambulika,,,,,, ila bashite ni kibaka tu,,,,, utaingiaje kwenye jengo bila kujua kuna kamela, na utajihami vipi,,,, bado sana bashite ana nafasi tu ya kusumbua watu ila bado yupo ngumbaro kuitwa Mafia.Bashite ni katili sana,yule ni mafia.
hahah mkuu wajina wako yule.Bashite zee la kulia ndiyo linamuwinda Nay wa Mitego
Ungekuwa wewe ndiye umeitwa na mkulu ungekataa? Au ni rahisi tu kuongelea ya wengine.Unamkosoa mtu hadharani then anakualika na unaenda aisee are immortal
Una nini cha kuwafanya wakuue?? Wapo imebuma, sasa unafosi mambo!
Usalama wa Maisha yangu umekua Mdogo kwasasa, Wana panga kunipoteza ikibidi nisiwepo kabisa kwenye hii Dunia. Nipo tayari kwa chochote wanacho panga kufanya Coz sijajipanga kupambana nao, Mimi ni Mwana Muziki si vingine. Kwa chochote kitachotokea Familia yangu itakua na chakuongea. Siwezi kuhama Nchi wala kukimbia nitafia hapa hapa. Na siko tayari kupindisha Chochote.! Nyie Ndo mtanilinda. Sina Mlinzi na sitarajii kua na mlinzi. OnlyGod[emoji120]
View attachment 490701
[HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Truth[/HASHTAG]
Source: nay wa mitego kupitia ukurasa wake.
Ndio vile tu anatafuta mkate wake wa kila siku ila nafsi inamsuta. Msamehe tu.acha kujitia upofu ndugu, kisa havai kijani ndio unamuona kawaida, muulize hata mtoto mdogo kijijini huko jina la ney kama halifahamu
Sidhani kama amesamehewa;Don't you think that what he says could be true and his life is really in danger?
Sidhani kama amesamehewa;