Nay wa Mitego adai anatafutwa kuuawa

Nay wa Mitego adai anatafutwa kuuawa

Kumbe nini cha kumfanya atafutwe hata kuuawa? Hivi kanisa kashajenga? Nilisahau.
unamkumbuka Dr.Ulimboka? walipomteka walichukua nini? Ben saanane je?

unaniuliza kuhusu kanisa? toka katangaza kujenga hadi sasa ni miaka mingapi imepita?
 
Let's be real guys!! Take this matter seriously!! This ain't a joke or kiki Nay mbona jina lake ni kiki ya kutosha!! Yanayoendelea nyuma ya pazia yanatisha!!!
 
Let's be real guys!! Take this matter seriously!! This ain't a joke or kiki Nay mbona jina lake ni kiki ya kutosha!! Yanayoendelea nyuma ya pazia yanatisha!!!
unajua kuna watu kazi yao ni kutetea hata vitu visivoeleweka,

hivi kuna kiki zaidi ya kuitwa na mkubwa hapa tz?
 
Bashite ni katili sana,yule ni mafia.
Mafia ni watu wenye kutumia akili sana katika kufanikisha mambo yao hata kuua bila kutambulika,,,,,, ila bashite ni kibaka tu,,,,, utaingiaje kwenye jengo bila kujua kuna kamela, na utajihami vipi,,,, bado sana bashite ana nafasi tu ya kusumbua watu ila bado yupo ngumbaro kuitwa Mafia.
 
Nasikia kuna watu wanataka waniue
Wapo[emoji350] [emoji350]
 
Usalama wa Maisha yangu umekua Mdogo kwasasa, Wana panga kunipoteza ikibidi nisiwepo kabisa kwenye hii Dunia. Nipo tayari kwa chochote wanacho panga kufanya Coz sijajipanga kupambana nao, Mimi ni Mwana Muziki si vingine. Kwa chochote kitachotokea Familia yangu itakua na chakuongea. Siwezi kuhama Nchi wala kukimbia nitafia hapa hapa. Na siko tayari kupindisha Chochote.! Nyie Ndo mtanilinda. Sina Mlinzi na sitarajii kua na mlinzi. OnlyGod[emoji120]
View attachment 490701
[HASHTAG]#Wapo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Truth[/HASHTAG]
Source: nay wa mitego kupitia ukurasa wake.

Siku zote ukiona ' Adui ' yako anatokea kukupenda ghafla na isivyo kawaida jua Israeli mtoa roho hayuko mbali nawe.
 
acha kujitia upofu ndugu, kisa havai kijani ndio unamuona kawaida, muulize hata mtoto mdogo kijijini huko jina la ney kama halifahamu
Ndio vile tu anatafuta mkate wake wa kila siku ila nafsi inamsuta. Msamehe tu.
 
Back
Top Bottom