Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utani pembeni huyo dada nilishawahi muona,wakaida sana tu...hana tako lolote la kushangaza,nashangaa ney anashoboka na lile tako
Sijambo...hujambo...
unalo kweli au unatania?
kuna project natafuta mtu mwenye nalo
tukujumuishe?
cc Evelyn Salt
Sijambo...
Mnh..project hapana
Kama ww wamzidi njoo pmSasa huyu dada anatako gani jamani..hata mimi tu namzidi
Ha ha ha bado unarecruit tu boss lolhujambo...
unalo kweli au unatania?
kuna project natafuta mtu mwenye nalo
tukujumuishe?
cc Evelyn Salt
Ha ha ha bado unarecruit tu boss lol
Ana sura ya mjomba wakeSio mbaya kivile jamani sema Tu anakurupukagaaa
Tako analizoom lile, hakuna jipya la kawaida sanaUtani pembeni huyo dada nilishawahi muona,wakaida sana tu...hana tako lolote la kushangaza,nashangaa ney anashoboka na lile tako
Ni sahihi,ukimuona laivu hafananii na lile tunaloona kwenye Tv..wakawaida sana yule bintiTako analizoom lile, hakuna jipya la kawaida sana
Tafadhari!Sasa huyu dada anatako gani jamani..hata mimi tu namzidi
Hihihii,halafu hata hajui kujieleza.Demu fulani hivi wa kiswahiliiiiHahhaaa nimesoma Naye mivinjeni primary kurasini jina lake zawadi but anijiita gift now mazingira aliyo kulia
yanafanana na vituko vyake
Ni mtoto ambaye ana control ya wazazi kabisa isitoshe mzazi wake mmoja dingi ayupo ndio kabisaa
Yani ni mtoto wa uswahilini fuatilia ata ngeli anaforce kama Dada Ake wa igunga yule