Nay wa Mitego: Nyumba ya Mill 300 Diamond aliyonunua South Africa mimi nimejenga Tabata

Nay wa Mitego: Nyumba ya Mill 300 Diamond aliyonunua South Africa mimi nimejenga Tabata

Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
mkuu Von Mo upo vizuri ktk mchanganuo.
 
Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
Eneo la nyumba ilipo ndio Issue mzee...wabongo wana mijumba sema hizo location ndio majanga! mtoto hata akipaliwa na uji kufika hospital au ukiita ambulance ni majanga!
 
Huwezi fananisha nyumna ya Mil 300 iliyopo Masaki na ya Bilioni iliyopo Bunyokwa Magengeni. Wenye uelewa watakuwa wamenielewa.
 
Kuna mtaalam hapo kapigiwa simu kasema nyumba ya kawaida unajengga kwa 25m ukiwa na kiwanja. Wabongo tunapenda kukuza sana vitu. Mimi nimejenga recently mpaka sasa hivi imegharimu 25m nimehamia, bado vitu vidogo na fence approx another 5m needed total itakuwa around 30m. Na nimefanya very high quality finishing na baadhi ya vitu nime import.

Wengine mnapigwa nyumba ya 30m unaishia kujenga kwa 60m. Nina rafiki yangu fundi ujenzi anasema 70-80m anasimamisha ghorofa mpaka kuezeka inabaki finishing tu ambayo inaweza kukufikisha 160m total.

Ila ukimuuliza mtu atakwambia ni ghorofa la 300m au 500m.
 
Je na huyo ambae anaendesha X6 ya msaada ambayo aliinunua mwanaume mwenzake ikiwa used kutoka japan then ikalamba km nyingi bongo ndo mpaka hao mabisi zake domo wakampooza mshkaji ili wampe domo
Ulikuwepo kwny izo process zote....
 
then what? kila mtu anaishi maisha yake, hata kama kapanga why do we care?
 
Bongo wapo watu wana nyumba za hadi bilioni 2 -3, shida ni pale,HII YA BILIONI 3 BONGO ambayo hata haina mazingira mazuri huduma muhimu barabara mbaya, NDIO KULE SOUTH WANANUNUA KWA HIYO MILIONI 300 -500 na zina huduma zote muhimu kwa binadamu na zipo kwenye maoneo ya KITAJIRI.

Ulishawahi kuja sauzi??

Unajua maeneo ya kitajiri au unaongea tu kishabiki
 
hahaha, sawa utaongezea basi
Kuna Mambo mengi nimeyaacha hapo MO11,
Mfano unaposema finishing ni Pamoja na Pavings, 1pc ya pavings ni 300/=, sasa Pavings unaweza chukua zaidi ya 20,000 bado fundi!!!!

Hapo itakuwa tayari
Hivi Paving wanauza kwa Piece au kwa Square metre?
 
Nyumba ya mil.300 halafu anamiliki murano old model na prado model ya kati......wasanii wa bongo kwa kujikweza haeajambo ndio maana chibu huwa anaweka na video kabisa kumaliza ubishi....sasa huyu wa tabata hata picha hajaweka
Kwa nyumba 300m kawaida sana
 
Mimi nakubaliana na NAY wa Mitego! Nyumba ya Millioni 300 ni ya kawaida sana!
Mfano halisi:
Kiwanja tu eneo zuri mara nyingi haipungui 15millioni: na ukisema upate hekari moja gharama inazidi zaidi!
Kujenga Nyumba mpaka Size ya Kupaua: haiwezi pungua 30million (1master, 2bedrooms, 1 public, dining and sitting room) na hapo nyumba haijafuata standards, Ninaposema Std kwa mfano Master inabidi iwe SUIT( Full au wanaita Studio)
Ukiweka Jamvi Gharama zitazidi: Zinaweza kufika 40million
Highlight: Tofali 3500-4500 @1000 bila usafiri, Mchanga lori moja @ 250,000 Kokoto Zimepigwa marufuku, so ukisema uagize semi kutoka Moro ni almost 3,000,000 @ Mchanga umepigwa marufuku baadhi ya Maeneo!
NondoTani moja (96pcs} ni 1,500,000 na inategemea Ramani yako!

Hapo Hujafika ktk Bati; Bati Stnd kabisa Nzuri Nyingi zinaanzia 18,390-24,000 @metre hapo hujui utahitaji pcs ngapi ingawa Nyumba Nyingi zina Eneo kuanzia 100 sqm mpaka hadi 400 sqm n.k

Ukija Mbao, Ni Gharama sana! Kwa Mfano tu Mdogo, Mrunda 1 pcs @7500, Na Mbao zingine zinauzwa kwa futi
Hujafika Misumari ambayo unakuta 3'' $ 4 ambayo ni 3500-4000 per Kilo

Cement unaweza ukatumia even more than 100bags @12,000

Hatujalipa Mafundi hapo! Hatujanunua Maji!

Finishing:
Tiles nzuri kabisa ni kuanzia 30,000 per box na nyingi zina 30cmx30cm, utajua wewe una eneo kiasi gani, hapo sijaweka Rafu
Frame za milango na Milango @minimum 500,000
Dirisha Moja kukamilika @ minimum 500,000
Hujafanya wiring pamoja na plumbing it can cost more than 2m
Ceiling board, blundering! Mbao balaa!!!!!!!!!
Hujapiga Plasta
Hujaweka Vyuo
Mabafu
Hujapiga rangi
Hujaweka Samani ndani

Hivi hiyo Millioni 20 au 18 ni ya kununulia kiwanja au Kujenga mpaka Lenta?????

Tusipende kubishana na watu waliothubutu kufanya Mambo! Wanafahamu!

Swimming pool ya kawaida kabisa kawaida ni 40millioni!

Tunaposema Nyumba, Ni Nyumba yenye Std, siyo Mnasubiriana kupishana!

haya ni maoni Yangu!
Napingana na wewe milion 300 inatoa nyumba nzuri sana yaani sana
 
hahaha, sawa utaongezea basi
Kuna Mambo mengi nimeyaacha hapo MO11,
Mfano unaposema finishing ni Pamoja na Pavings, 1pc ya pavings ni 300/=, sasa Pavings unaweza chukua zaidi ya 20,000 bado fundi!!!!

Hapo itakuwa tayari
Umeshawahi kuona nyumba ya million 150 sio mia tatu
 
Kiwanja Eneo Zuri Hauwezi Kupata kwa 15milions,Kiwanja Eneo Zuri cha Sqm 780 ni Zaidi ya Milioni 50(Vyenye Hati na Sio Skwata) Von Mo ,Kwa Msanii Mkubwa Kujenga Nyumba kwenye Kiwanja cha 25 kwa 30 kama Dimond Madale haijakaa poa,Msanii unatakiwa Hamna Hamna una kiwanja cha kupimwa kabisa tena 50 kwa 50(sqm 2,500),Nachukia sana utakuta msanii anasema ana nyumba lakini ukija kuangalia amejenga kwenye skwata na kiwanja chenyewe miguu ishiri kwa ishiri khaa ni aibu,angalieni wasanii wenzenu mtoni mtu ana ekari 40 ameweka Mansion.
Hawajengi kule wananunua
 
Kuna mtaalam hapo kapigiwa simu kasema nyumba ya kawaida unajengga kwa 25m ukiwa na kiwanja. Wabongo tunapenda kukuza sana vitu. Mimi nimejenga recently mpaka sasa hivi imegharimu 25m nimehamia, bado vitu vidogo na fence approx another 5m needed total itakuwa around 30m. Na nimefanya very high quality finishing na baadhi ya vitu nime import.

Wengine mnapigwa nyumba ya 30m unaishia kujenga kwa 60m. Nina rafiki yangu fundi ujenzi anasema 70-80m anasimamisha ghorofa mpaka kuezeka inabaki finishing tu ambayo inaweza kukufikisha 160m total.

Ila ukimuuliza mtu atakwambia ni ghorofa la 300m au 500m.
Leo nimekua njia moja nawewe sababu ujenzi unaufahamu
 
Back
Top Bottom