NaY wa mitego yuko sahihi au anakosea?

Basata ni wadwanzi sana
 
 
Ney huwa haogopi chochote,maamuzi aliyochukua ni maamuzi sahihi kabisa maana haiwezekani mijitu inatunga sheria za kijima mpaka karne hii

Mimi mwenyewe kuanzia kesho naanzisha blog yangu bila kuisajaili tcra na nawashauri watanzania wenzangu tuanze kuzivunjilia mbali sheria za hovyo zilizotungwa kwa shinikizo la JiwePM
 
Amuulize Diamond aliyejifanya kutaka kuhamia Kenya
Mwenyewe akanywea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…