Nayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana

Ni mambo ya kishirikina umepewa mwiko?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimjibu simple tu bi dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika best ya thread zangu za JF ...

Haya maneno ni kila siku yanajirudiarudia kwenye akili yangu tangu nimeusoma huu uzi

β€œNayaandika haya huku moyo wangu unavuja damu. Uchungu mwingi sana”


Allah Amfanyie wepesi mja wake
 
Angempata mtu wa kumfundiaha meditation angefurahia kuwasiliana na miungu pekee!!na angetuandikia MENGI Sana ya kutisha na ku staajabisha!!
 
Aisee so sad Pumzika kwa amani , ulishafanya attempt za kujitoa uhai mara nyingi lkn tukashindwa kukufariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…