Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
-
- #21
Nachukia nikifikiri kuna siku ntakufa na kukuacha mpwa wangu 🙁.Usichukie Aunt yangu hata me juzi tumetoka kumzika ndugu yetu wa karibu, pole sana kwa unayopitia jipe moyo usichukie maisha.
Maisha yana changamoto zake nyingi huku hatma yake ikiwa ni kifo, licha ya changamoto zote bado kuna raha ya kuishi furahia wakati ulionao ungali hai.
Sawa, tunashukuru kwa yote, aliyetoa ametwaa.Unabidi kushukuru pale Mpendwa wako anapoondoka in physical form maana hiyo ni sheria ya Asili law of nature .
You lose father or mother but you get an Angel in heaven .
Don't Cry
God is Good
Familia unaitafuta kwa nyege zako mwenyewe sio lazima ..😅😅Fanya maisha yako ukichoka bora ufe tu ,ukishaanza kuzaa basi unajiingiza kwenye matatizo.Bora kufa tena? Wewe hauna familia au watu watakaoumia ukiondoka?
Kifo hakina huruma, kifo kinaumiza sana wanaobaki ( sijui kwa anayekufa anaumia kiasi gani).
Kifo hakizoeleki, kifo kinakatisha tamaa mno!
Last week tumezika father wangu mdogo ,ambaye alilazws wiki moja nyuma ...So kifo naona kawaida ,kulia hapana.Bora kufa tena? Wewe hauna familia au watu watakaoumia ukiondoka?
Asante kwa kutukumbusha, tumekusikia na tutajitahidi kufanya hivyo.Kwamba wewe ukiwa hai utende maovu halafu ukifa ndiyo uombewe na waliobaki (ambao nao ni watenda dhambi kama wewe ulivyokuwa) ili upate pumziko jema? Haya siyo mafundisho ya Biblia (kama wewe ni Mkristo). Tujitahidi kuwa na mahusiano mema na Mungu, tuombe toba na tuishi maisha yanayompendeza Mungu wakati tukiwa hai. Hii ya kusubiri ufe eti ndo uombewe na waliobaki ili upumzike salama huko uliko ni kujidanganya na kujifariji tu.
Ndugu yako apumzike salama 🙏🏿
Pole babes, vipi ndugu wa baba walikutenda?Nilipo mpoteza baba angu ndipo nilijua dunian watu ni wabaya mno mno
Daah mzaz ni kitu kingine kwenye hii Dunia Hakuna kama mzaz
R.I.P 💔
Pole sana dada. Pole mnooo! Mungu akutie nguvu na kukufariji.Nimeamka leo na taarifa ya msiba wa ndugu wa karibu aliyefariki jana usiku kutokana na ajali.
View attachment 3268755
Kama umeshawahi kuondokewa na mpendwa wako, mzazi, rafiki wa karibu unajua maumivu makali ya kupoteza mtu ambaye alikuwepo kwenye maisha yako na ghafla hayupo tena.
Nayachukia sana maisha kila nikifikiria kuna siku nitakufa na kuwapitisha wanangu na familia yangu kwenye maumivu makali ya kunipoteza na kulazimishwa kuanza mwanzo mpya wa kuishi bila mimi 😢. Ninaishi na kitu kinaitwa "anticipatory grief" towards baadhi ya ndugu kwenye familia yangu na inaniumiza sana kwa kweli.
Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?
Tuendelee kuwaombea wote waliotangulia, wakapate pumziko, may they RIP.
Mbona avator yako ina nyashi kubwa namna hiyo?
Daaah huo ni mtazamo mzuri pia, kuna kitu cha kujifunza.Last week tumezika father wangu mdogo ,ambaye alilazws wiki moja nyuma ...So kifo naona kawaida ,kulia hapana.
Mimi nikiona mtu anaumwq sana mpaka anateseka naweza kulia ,nikiona ombaomba kule barabara naweza kulia ila sio kifo. siku nililia nilipoona video moja kule congo watu wanateswa ila kifo hapana naona mtu anaenda sehemu salama kuliko uonevu wa duniani.
Kwamba wewe ukiwa hai utende maovu halafu ukifa ndiyo uombewe na waliobaki (ambao nao ni watenda dhambi kama wewe ulivyokuwa) ili upate pumziko jema? Haya siyo mafundisho ya Biblia (kama wewe ni Mkristo). Tujitahidi kuwa na mahusiano mema na Mungu, tuombe toba na tuishi maisha yanayompendeza Mungu wakati tukiwa hai. Hii ya kusubiri ufe eti ndo uombewe na waliobaki ili upumzike salama huko uliko ni kujidanganya na kujifariji tu.
Ndugu yako apumzike salama 🙏🏿
Wengi tunaogopa kifo baada ya kuzaa, kabla hatukujua maana ya kutengeneza maisha na kumleta duniani kiumbe unayempenda kuliko chochote. Huwa naumizwa sana na wazazi wanaofariki watoto wakiwa bado wadogo au vijana.Ukiogopa kifo ogopa kuzaa pia.
Nakutumia kijitabu wanachotumia wenzako kujitoa mhanga utaona jambo la kawaida usijali hakikisha unakisoma page 6 ya tu Kisha malizia 9 uone faida kemu kemu za kujiuaNimeamka leo na taarifa ya msiba wa ndugu wa karibu aliyefariki jana usiku kutokana na ajali.
View attachment 3268755
Kama umeshawahi kuondokewa na mpendwa wako, mzazi, rafiki wa karibu unajua maumivu makali ya kupoteza mtu ambaye alikuwepo kwenye maisha yako na ghafla hayupo tena.
Nayachukia sana maisha kila nikifikiria kuna siku nitakufa na kuwapitisha wanangu na familia yangu kwenye maumivu makali ya kunipoteza na kulazimishwa kuanza mwanzo mpya wa kuishi bila mimi 😢. Ninaishi na kitu kinaitwa "anticipatory grief" towards baadhi ya ndugu kwenye familia yangu na inanikula ndani kwa ndani.
Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?
Tuendelee kuwaombea wote waliotangulia, wakapate pumziko, may they RIP.
Sikubaliani na wewe, ila naheshimu mtazamo wako!Hakuna furaha ye yote duniani, Bali mbinguni.