Nayachukia maisha sababu ya kifo

Nayachukia maisha sababu ya kifo

Usichukie Aunt yangu hata me juzi tumetoka kumzika ndugu yetu wa karibu, pole sana kwa unayopitia jipe moyo usichukie maisha.

Maisha yana changamoto zake nyingi huku hatma yake ikiwa ni kifo, licha ya changamoto zote bado kuna raha ya kuishi furahia wakati ulionao ungali hai.
Nachukia nikifikiri kuna siku ntakufa na kukuacha mpwa wangu 🙁.
Ila kwa sasa acha tufurahie maisha na kuwapa muda na upendo wale wenye umuhimu kwetu.
 
Kifo hakina huruma, kifo kinaumiza sana wanaobaki ( sijui kwa anayekufa anaumia kiasi gani).

Kifo hakizoeleki, kifo kinakatisha tamaa mno!
giphy.gif
 
Bora kufa tena? Wewe hauna familia au watu watakaoumia ukiondoka?
Last week tumezika father wangu mdogo ,ambaye alilazws wiki moja nyuma ...So kifo naona kawaida ,kulia hapana.

Mimi nikiona mtu anaumwq sana mpaka anateseka naweza kulia ,nikiona ombaomba kule barabara naweza kulia ila sio kifo. siku nililia nilipoona video moja kule congo watu wanateswa ila kifo hapana naona mtu anaenda sehemu salama kuliko uonevu wa duniani.
 
Kwamba wewe ukiwa hai utende maovu halafu ukifa ndiyo uombewe na waliobaki (ambao nao ni watenda dhambi kama wewe ulivyokuwa) ili upate pumziko jema? Haya siyo mafundisho ya Biblia (kama wewe ni Mkristo). Tujitahidi kuwa na mahusiano mema na Mungu, tuombe toba na tuishi maisha yanayompendeza Mungu wakati tukiwa hai. Hii ya kusubiri ufe eti ndo uombewe na waliobaki ili upumzike salama huko uliko ni kujidanganya na kujifariji tu.

Ndugu yako apumzike salama 🙏🏿
Asante kwa kutukumbusha, tumekusikia na tutajitahidi kufanya hivyo.
 
Nimeamka leo na taarifa ya msiba wa ndugu wa karibu aliyefariki jana usiku kutokana na ajali.

View attachment 3268755

Kama umeshawahi kuondokewa na mpendwa wako, mzazi, rafiki wa karibu unajua maumivu makali ya kupoteza mtu ambaye alikuwepo kwenye maisha yako na ghafla hayupo tena.

Nayachukia sana maisha kila nikifikiria kuna siku nitakufa na kuwapitisha wanangu na familia yangu kwenye maumivu makali ya kunipoteza na kulazimishwa kuanza mwanzo mpya wa kuishi bila mimi 😢. Ninaishi na kitu kinaitwa "anticipatory grief" towards baadhi ya ndugu kwenye familia yangu na inaniumiza sana kwa kweli.

Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?

Tuendelee kuwaombea wote waliotangulia, wakapate pumziko, may they RIP.
Pole sana dada. Pole mnooo! Mungu akutie nguvu na kukufariji.

Kifo hakijawahi kuzoeleka ... Kila siku huja na matukio mapya na yenye maumivu yasiyoweza kuzoeleka!

Itoshe kukupa pole! Nilisoma hoja za Paul Kalanithi na mawazo yake juu ya kifo, ngoja nirudi kuzisoma Tena.
 
Last week tumezika father wangu mdogo ,ambaye alilazws wiki moja nyuma ...So kifo naona kawaida ,kulia hapana.

Mimi nikiona mtu anaumwq sana mpaka anateseka naweza kulia ,nikiona ombaomba kule barabara naweza kulia ila sio kifo. siku nililia nilipoona video moja kule congo watu wanateswa ila kifo hapana naona mtu anaenda sehemu salama kuliko uonevu wa duniani.
Daaah huo ni mtazamo mzuri pia, kuna kitu cha kujifunza.
 
Kwamba wewe ukiwa hai utende maovu halafu ukifa ndiyo uombewe na waliobaki (ambao nao ni watenda dhambi kama wewe ulivyokuwa) ili upate pumziko jema? Haya siyo mafundisho ya Biblia (kama wewe ni Mkristo). Tujitahidi kuwa na mahusiano mema na Mungu, tuombe toba na tuishi maisha yanayompendeza Mungu wakati tukiwa hai. Hii ya kusubiri ufe eti ndo uombewe na waliobaki ili upumzike salama huko uliko ni kujidanganya na kujifariji tu.

Ndugu yako apumzike salama 🙏🏿

CC. Pastor Kyande @Wachungaji
 
Nimeamka leo na taarifa ya msiba wa ndugu wa karibu aliyefariki jana usiku kutokana na ajali.

View attachment 3268755

Kama umeshawahi kuondokewa na mpendwa wako, mzazi, rafiki wa karibu unajua maumivu makali ya kupoteza mtu ambaye alikuwepo kwenye maisha yako na ghafla hayupo tena.

Nayachukia sana maisha kila nikifikiria kuna siku nitakufa na kuwapitisha wanangu na familia yangu kwenye maumivu makali ya kunipoteza na kulazimishwa kuanza mwanzo mpya wa kuishi bila mimi 😢. Ninaishi na kitu kinaitwa "anticipatory grief" towards baadhi ya ndugu kwenye familia yangu na inanikula ndani kwa ndani.

Ulimpoteza nani kwenye maisha yako akaacha pengo ambalo halijazibika?

Tuendelee kuwaombea wote waliotangulia, wakapate pumziko, may they RIP.
Nakutumia kijitabu wanachotumia wenzako kujitoa mhanga utaona jambo la kawaida usijali hakikisha unakisoma page 6 ya tu Kisha malizia 9 uone faida kemu kemu za kujiua
 
Pole Sana. Mbona maisha mengine yapo tu ukitaka kujua Hilo angalia jozi za vitu mbali mbali utagundua. Nyuma, mbele. Kulia kucheka. Kushoto kulia. Kwa hiyo mchana na usiku Ni ishara kubwa kutuonyesha kwamba tunapokuwa hai Kama hivi Ni mchana lkn usiku unakuja ambapo tutasubiri pia mapambazuko yake.
 
Back
Top Bottom