Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Kocha wa ken Gold kafungua njia kwa makocha wengi kimfumo namna ya kucheza na Yanga, ni vile Hana wachezaji sahihi wa kutekeleza TU ( alichosema kwenye press preMatch na Imani makocha wengi wataanzia hapo )
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish
Nilishawahi kusema aina ya mpira ambao Kocha mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafundisha ni mpya Sana hapa kwa soka LA afrika ( pressing )....kwa afrika Bado ijazoeleka kwa makocha wengi.
Kwa Yanga huu mfumo umeonekana kufanya kazi kuendana na wachezaji walio kuwa nao.... ( Nilielewa hichi kitu kuanzia mechi na MAMELODI )
Ila Sasa ni dhahiri makocha wengi wamemsoma na kuanzia kujua namna ya kucheza na mfumo huu ( watu hawalali wakuu )
Hata pep guadiola kipindi anakuja Mancheter City na saivi ni tofauti kabisa kabadili mfumo si chini ya mara mbili ili kuendana na ushindani baada ya kujua tayari kila wakati makocha wanamsoma mbinu zake
Soma Pia: FT: Ken Gold 0-1 Yanga | NBC Premier League | Sokoine Stadium | 25.09.2024
Hivyo basi, kwa Gamondi naona linaenda kutoka na inawezekana baada ya mda akaondolewa kabisa au timu yake ikapotea....
Nawasilish